Recent content by mashalo kilawo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tuache kunyosheana vidole wanaume wote wachepukaji.

    Kwa asilimia hamsini naunga mkono hoja ya mheshimiwa. Ila tujue kama biblia ilivyowataja matowashi na michepuko ipo ya aina tofauti na sababu tofauti. Moja michepuko kutokana na tabia ya umalaya. Mbili michepuko inayosababishwa na matatizo ya ndoa na tatu michepuko inayosababisshwa na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wote wa JF someni hii,mmoja wenu ndo kafanya haya

    Katika maisha ya ndoa naona huyo mwanaume anaweza kuwa right sababu alipotoka asubuhi alipaswa kujua ana mafuta ya kutosha au la. Pili alipokuwa kazini kabla ya kutoka alipaswa kujua kama hana mafuta amtume hata mlinzi. Unaenda na gari mpaka likuzimikie ili watu wajue mke wa Fulani kazimikiwa na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tuache kunyosheana vidole wanaume wote wachepukaji.

    Kwa asilimia hamsini naunga mkono hoja ya mheshimiwa. Ila tujue kama biblia ilivyowataja matowashi na michepuko ipo ya aina tofauti na sababu tofauti. Moja michepuko kutokana na tabia ya umalaya. Mbili michepuko inayosababishwa na matatizo ya ndoa na tatu michepuko inayosababisshwa na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Anajiita Blogger Maarufu Tz Nzima!!!

    wewe ndiye unaemkubali sio wengine na usipebde kugeneralize
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wewe unamuogopa Yeye anacheza nae.

    Huu ni ushirikiana hata kama ni mchina. Mambaa chezea.....
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hodi

    nanyimwa haki fulani
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi mpaka ndani

    hata mimi najinga
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimemtafuna mke wake...!

    Huyu jamaa ukimchunguza vizuri ndio chanzo cha mgogoro wa hiyo ndoa ya rafiki yake. Nini kilikuwa kinawagombanisha mpaka akaamua kutembea na mkewe, kwa mbaliii naona jamaa alishaanza kumuhisi kuwa na yeye ni mmoja wa wanaommega mkewe. Kwa mazingira aliyosema ya kupewa nafasi na huyo mwanamke...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Unatumia CONDOM ya aina gani isiyokupa karaha?

    katika vit vinaniboa ni kondom
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mambo kumi usiyoyajua kuhusiana na bar zenye guest

    CTU mbona itigi pale msamvu morogoro hujaisemea? Wapo wa buku, bia moja na kama ni handsome unapewa ofa. Ila ukingia chumbani dakika mbili unagongewa na anakuambia mme wake amekuja. Sasa balaa lake ni vibao na kusachiwa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA'

    Tatizo wanawake wasio na busara kitendo cha kuambiwa hivyo ndiooo kwanza fungulia mbwa na dharau juu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Huyu bibi cheka toba!

    wewe ndiye unaemuona bibi mbele ya bangi na kiroba mbona kigoli kabisa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Utaratibu huu ni kweli hajui au makusudi?

    hayo ni mabadiliko ya tabia nchi
  14. M

    JamiiForums Tanzania Picha za mh. Vicky Kamata nchini China alipokua akijiandaa kuanza maisha mapya

    Hakusoma alama za nyakati hajui mme mwema anatoka kwa mungu
  15. M

    JamiiForums Tanzania utaalamu wa photoduka hapa!!

    huyu jamaa kiboko
Back
Top Bottom