Nimemiss kuwa deep in love (serious relationship) ikiwa pamoja na kuambiwa nakupenda, kwenda out, kuletewa zawadi, kutumiwa msg za mara kwa mara kudiscuss na mwenza wangu kuhusu maisha na hata kufanya jambo la maendeleo na mwenza wangu kwa pamoja, UPWEKE MBAYA NA USINGLE MOTHER MBAYA ZAIDI
Chonka bojooo.... waambie wazee wa masifa, alafu wanawaza manispaa yao kufanana na Dubai, yaani mpaka sasa Bukoba halijawa jiji wasukuma wamewatoa kamasi mwanza inapendeza balaaa
kweli aiseeee Bukoba mjini hakuna kitu kama hicho na ghorofa la maana lipo moja na alijafikia hii kitu bt kutwa hawa ndugu zetu wanajidai na masifa ya kufa mtu
wakati nyie majungu ndo yamewafanya hata kujenga stand imewashinda yaani roho mbaya na machuki binafsi kila siku ugomvi tu na kila mtu anataka awe mshindi mpaka mmepelekana mahakaman, wahaya hpana aiseeee
yaani wewe ndo mjinga tena unaweza kutuambukiza humu, kunywa maziwa ni ufahari? huko shinyanga maziwa wanasongea ugali mbona watu hawafikirii hayo, wachaga wanajua kujiongeza na kubuni mbinu za kujikwamua kila kukicha, endeleeni na campaign za kujenga vyoo huko walishatokaga kitambo sanaaaa...
Kwaaa kwaa kwakwaaaaaaaaa, haki u made my day! watu chuki zinawasumbua mtu akiweza kufanya jambo ambalo mwengine hawezi wala kulifikiria kulifanya anapaswa apongenzwe
Mh! Mbona kama kakuongopea, inaonesha binti hakuwa na bikra kabisaaa ukizingatia hukuwahi kumkagua kama kweli anayo, kwa fikra zangu naona ameona karibia mnafikia mpango wa ndoa ndo maana ameamua kukwambia ukweli ila kwa kutumia kisingizio cha mambo ya kiganga, huyo binti si mkweli na si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.