Wanajamvi kwakweli mimi nikiwa kama mtanzania sijaona kaz ya maprofesa katika mchango wowote zaidi ya kwenye siasa,kwa asilimia kubwa kwa tanzania maprofesa ndio wamechangia kuendelea kuanguka kwa taifa letu mfano,katika sector ya elimu profesa ndiye aliyefuta mtihani wa kidato cha pili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.