Pole sna mkuu, mkeo anaonekna mvivu/mchafu na anapenda kuanglia season yan yey akiamka cha kwanz tv hawaz chochte yuko radh kushindia chips au biskut na soda lakin asitoke kweny tv...!! Tatzo ndo linaanzia hpo yan akijastuka mda ushaend hajapika hajafua hajasafisha ndani ndo mana ukirud unakuta...
Mimi naisi ni utaratibu tu kwa baadhi ya majirani wamejiwekea hivyio pia huongeza upendo na hali ya kupeana teba na tena yani hata kikiwa kidgo lakin anajua cha hmu na wakishaweka hu utaratibu lazima utaletewa tu lakin sidhani kama ni lazima. #Ujamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.