Kwa kuwa ni kazi iliyokuwa ya ndoto zangu, kila nisikiapp shughuli ya JWTZ nahisi kama ni mimi natekeleza jukumu la ulinzi wa Nchi yangu pendwa Tanzania. Kila la kheri JWTZ, Makamanda, na wapiganaji wote wa jeshi. Hamjawahi kutuangusha. Mungu awe nanyi.
Mwalimu mkuu akiondoka, huko kwenu hakuna anayekaimishwa ofisi?
Hapa issue ni kuonesha power ama kushughulikia tabia mbaya na kuzirekebisha? Unadhani wanafunzi wakiamua kuonesha power kwa walimu, mtawamudu? Na kwa nini kuwe na power struggle kati ya mwalimu na mwanafunzi alhali ualimu ni kazi...
Kuna sheria ya mtoto ya mwaka 2009, 13 (1-3) inatamka kumlinda mtoto na vitendo vyovyote vya kikatili vinavyoweza kumsababishia maumivu ya kimwili na kihisia ikiwemo vipigo vitokanavyo na fimbo. Pia kuna muongozo wa utoaji wa adhabu za viboki mashuleni wa mwaka 2000 unatoa maelekezo kuwa mkuu wa...
Huyu jamaa juzi kaja na hoja ya kutoongeza mishahara na kutokulipa stahiki zingine kwa wafanyakazi. Sasa tena kaibuka na agenda MAVI ya ajira ukomo uwe 10 years. Yani at 33 mtu astaafu! Anajua kwamba vijana wanahitimu vyuo vikuu at the age of 23? Wenye stashahada wanahitimu na around 19-21? So...
Hawa jamaa moja ya vitu wanafurahia wakifanya ni kujamba. Hawana shida kabisa na hilo. Yani kwenye train unabana pua kibongobongo hadi uaamua tu sasa ngoja niziachie[emoji3][emoji3][emoji3]
Kiongozi yeyote hata awe nani, suala la kumpiga mtumishi haliwezi kuwa la kiungwana. Watumishi tunapaswa kutokuwa wanyonge. Akikutandika kofi, na wewe mnase. Acha sheria ifuate mkondo wake kwa kuchunguza ila akikupiga kibao, mtandike viwili vya nguvu hapohapo.
Tusiwaendekeze. Huyu alipaswa...
Ni kwa nini miundombinu ya gas isisambazer majumbani, tukaondoa utitili wa haya ma mitungi? Kwani kuna shida hmgani system za usambazaji zikaenea majumbani mwa watu na tukalipia kwa mfumo kama wa umeme?
Ninaandika kwa masikitiko juu ya usumbufu wa watendaji hasa watu wa ofisi za masijala za Manispaa ya Temeke.
Tafadhalini sana acheni tabia zenu za kuzungusha watumishi wa kada mbalimbali wanaofika hapo kupata huduma. Haiwezekani mtumishi afike na kuzungushwa kuwa file lake halionekani kwa wiki...
Sure mkuu. Na hapo nimelala Mwanza ili niwahi safari ya asubuhi. Si bora wangetuma ujumbe mapema jana nikalala nilikotoka na kuja asubuhi Mwanza! Quite unfair...halafu na watoto wadogo wanalala na kushangaa shangaa tu Airport hapa.
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali kufufua shirika hili la Ndege la Taifa.
Baada ya pongezi, nieleze masikitiko juu ya utaratibu mbovu wa uahirishaji wa muda wa safari za abiria bila kutoa taarifa.
Abiria wanaosafiri kutoka Mwanza, baadhi wanatoka mikoa ya jirani kama Mara, Simiyu, na...
Salaam wandugu,
Naandika uzi huu kutoa dukuduku langu juu ya ofisi na watumishi wa masijala popote hapa nchini. Hizi ofisi zimekuwa na watu wasumbufu sana, wasiojali muda wa mtu na wanapenda kunyenyekewa!
Katika kuelekea Tanzania ya viwanda, natoa rai kwa watu wa hizi ofisi wabadilike sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.