Kwahiyo alikuwa anaugua kikazi hadi alipwe posho? Kwahiyo lissu nae anataka kulamba padiem na kupangishiwa chumba chenye jim kwenye hotel ya nyota tano? No kabisa
Hapo 70% ya wateja ni wazinzi na bado muroto anapitisha msako wa machangudoa. Yaani tangu kamatakamata ya machangu ianze kuna guest zinalala bila hata mteja mmoja
Huko aliko ununua haukulipiwa kodi? Ushindwe kukusanya kodi bandarini wakati uko kwenye kontena ukusanye kwa kukimbiza wananchi na mgambo siniusenge huo
Kwanza umekosoa na haujatoa ushauri nini kifanyike, hiyo degree yako ya DS haina maana.
Machinga haendi dubai wala beijing kufata mzigo ananunua kariakoo na kumpelekea final consumer huo mzigo ushalipiwa kodi bandarini na kariakoo unataka na machinga alipe vat import duty etc huo ni ujinga wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.