Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
- Thread starter
- #141
Mfanyabiashara anaitwa mfanyabiashara kama amejiandikisha TRA na kupewa TIN Number as a taxpayer. So miongoni mwa hao Wafanyabiashara kuna watumishi na hata wakulima.Hao milion 2.2 ni wafanyabiashara wote na wafanyakazi wote Tanzania !?