Recent content by Masalu T Bernard

  1. Masalu T Bernard

    Ona maajabu ya siasa za tanzania

    Kuna kitu kinashangaza sana kwenye siasa za Tanzania.Unakuta Mwanasiasa wa Tanzania ameharibu katika utendaji wake wa Kisiasa either Serikalini Mf Eddo alipojiuzuru Uwaziri Mkuu kutokana na Kashfa ya Richmond,Chenge Mzee wa Vijisenti na sasa ZZK aliyevuliwa nyadhifa zake zote za Uongozi ndani...
  2. Masalu T Bernard

    Watumishi wa umma tusiogope vitisho vya CCM tutumie haki zetu za kikatiba

    ndugu watanzania wenzangu [wanajf]hususani watumishi wa umma kuna baadhi ya rafiki zangu wa ccm wamekuwa mara kwa mara wakinishambulia kwa maneno na kunitishia kunichongea kwa wakubwa zao eti nifukuzwe kazi sababu mimi ni mwanachama wa chadema na sibarikiwi na siasa za ccm.nawaomba wasome...
  3. Masalu T Bernard

    Miaka 20 ya harakati za ukombozi wa wanawake kimapinduzi tgnp- 50/50 isiwe tu kwenye ubunge

    Post yako ni nzuri dada joyce ila wanawake mnatakiwa mpambane na wanaume on fair ground kudhihirisha kuwa mnaweza.msisubiri mtengenezewe mazingira ya kubebwa.kubebwa kunawafanya mdharaulike zaidi.hebu angalia huu mfano mdogo eti kila jimbo la ubunge kuwe na nafasi ya mwanamke na mwanaume ili...
  4. Masalu T Bernard

    Prof. Baregu aivuruga CHADEMA

    Profesa Baregu akiendelea na msimamo wake huo awe fired tu.Hapa suala sio kiwango cha elimu,umaarufu au chochote kile.Mtu yeyote anayebetray chama chetu chenye dhamira ya dhati ya kuwatetea Watanzania anawasaliti Watanzania pia awe fired tu.Inashangaza sana hadi Maprofesa wetu kupumbazwa kwa...
  5. Masalu T Bernard

    CHADEMA kutikisa Nzega leo

    Ndugu Wanajamvi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo[CHADEMA] Kata ya Nzega Mjini kitakuwa na Mkutano Mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Parking Nzega leo tarehe 04/05/2013 kuanzia saa tisa alasari. Wazungumzaji wakuu watakuwa ni Mwenyekiti wa Wilaya ya Nzega OMARY OMARY,Mwenyekiti wa Wanawake...
  6. Masalu T Bernard

    Mbowe, Slaa, Zitto, Lissu, Mnyika na wabunge wengine kutikisa Tabora

    Tabora we are ready.karibuni sana mbowe,dr slaa na mnyika.
  7. Masalu T Bernard

    Dr. Slaa azindua Mafunzo Maalum ya kuikaba CCM Vijijini

    Thanx kamanda basil lema kwa taarifa nzuri ila wakati wa kirusi kuvuliwa nyadhifa zake na kufukuzwa chama ndiyo huu. Tunahitaji makamanda wa kweli wataokuwa tayari kukipigania chama chetu hadi tone la mwisho la damu zao.kwani tukiendelea kufuga mwiba huu mguu utaota tende.big up kwa dr slaa...
  8. Masalu T Bernard

    Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

    Jamani wanachadema wenzangu tusipoteze muda kwa hoja dhaifu namna hii.bila shaka mawakala wa ccm ndani ya chadema tunawajua.mwanachadema makini lazima anajua kuwa jamaa mmoja kutoka k.g ni pandikizi la nguvu.limeshanunuliwa na mafisadi.naunga mkono kauli za mh freeman mbowe zaidi ya 100%
  9. Masalu T Bernard

    Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

    Nimejikaza kiume nisitokwe na machozi.inauma sana ila we will never surrender mpaka mageuzi yafanyike tanzania
  10. Masalu T Bernard

    Waziri alidanganya Bunge, aingia 18 za Zitto!

    inaelekea wewe ndiyo mnafiki kwelikweli halafu sarakasi za kisiasa huzijui.unashabikia usilolijua. Manen0 matamu siyo kitu.watu tunataka uwajibikaji.true leader must walk his/her talks.vp majina ya walioficha fedha u.swi.swi umeshatajiwa.tumechoka maigizo ya watu kujifanya wazalendo kumbe ndani...
  11. Masalu T Bernard

    Rai ya Zitto Kabwe kuhusu udini Tanzania ulivyoenea

    Ujumbe ni mzuri ila pia watu waache unafiki.wanafanya ujinga wakiambiwa ukweli na hatua zikichukuliwa juu yao wanasema eti sababu ya dini yao.kuna watu wanajiona malaika hasa baadhi ya wanasiasa wetu.hawataki kukosolewa,wakikosolewa wanajificha kwenye mwamvuli wa udini.hawa ndiyo wadini...
  12. Masalu T Bernard

    Waziri alidanganya Bunge, aingia 18 za Zitto!

    Siku zote nasema uelewa mdogo wa siasa kwa watz wengi ni janga la kitaifa kwani baadhi ya wanasiasa uchwara wenye ubinafsi na kutaka misifa binafsi iliyopitiliza huku wakijifanya nje wazalendo wakati ndani ni vibaraka vya mafisadi wanaendelea kutuchezesha sarakasi zao zisizo na kichwa wala...
  13. Masalu T Bernard

    Maswali ya msingi kwa wasomi na hatma ya Tanzania

    tatizo watanzania wengi hususan vijana wameweka pesa na tamaa ya mali mbele kuliko utu wa mwanadamu.wengi wanafikiri pesa ndiyo kila kitu ndiyo maana wengi wamekuwa wasaliti hadi kwa tshs 50,000/= wako tayari utu wao ununuliwe kwa pesa.pia wanafikiri kwenye siasa ni sehemu ya kutafuta ajira na...
  14. Masalu T Bernard

    CHADEMA taifa vipande vipande! Soma barua hii ya Zitto

    Chadema taifa haiwezi kuwa vipande vipande kwa propaganda za kitoto namna hii.what is the validity of the letter!!!!!!!.any official letter must have a signature.kisheria barua hii inakosa uhalali.viongozi makini wa cdm hawawezi kucheza ngoma ya kitoto namna hii kutoka kwa magamba.kama ni kweli...
  15. Masalu T Bernard

    Kesi ya Lwakatare: Namba hii ndiyo iliyomtumia Ludovic pesa kwa njia ya M-Pesa

    Taifa likijaa wanasiasa uchwara ni hatari sana.wanasiasa uchwara wana njaa ya kichwani.badala ya kujikita kutatua matatizo ya msingi ya wananchi kama afya,elimu,miundo mbinu.ardhi,ufisadi n.k. Wao wanakesha kutafuta mbinu za kudhoofisha upinzani.hata wafanyaje tutapigania mageuzi kwa gharama...
Back
Top Bottom