Jamani tusubirini mechi ya hull city ambayo nayo mara nyingi ni kasheshe kwa chelsea ingawa huwa amashinda hivyo hivyo, jana Cahil alimwaga mboga sachez hakujali akahakikisha na ugali hapati so ni marekebisho yanahitajika ili timu iwe solid
Pia falsafa za mpira wa kiitaliano zinahitaji muda...
Halafu pia ukuta wa chelsea sasa hivi ukiwa ontarget tuu umo wavuni, angalia mechi ya liverpool, swansea,leicester na ya jana attempt chache lakini zikiwa on target coutour anachukua mpira wavuni
Kaka utasema yote hayo sababu tumefungwa, ukweli ni kwamba jana arsenal walijua fika kuwa chelsea wanakocha asiyeijua emirate so kilichofuata ni kumsurprise jamaa walikuwa very aggressive and very sharp ni kukimbia kila kona ulipo mpira hawakuwa na shida ya possession kabisa wakiupata ni mbio...
sorry ulishaona wapi bidhaa inauzwa pasipo na soko??? So tatizo lipo na ndo maana watu wanahangaika kupata ufumbuzi, pia kuna tofauti kati ya kupungukiwa nguvu za kiume na kutokuwa na nguvu za kiume. Hapa tunaongelea kupungua kwa nguvu, yaani mtu muda wa mechi mashine ni tia maji tia maji
Mkuu haka kamchezo ukiingia umeingia, hisia zikija utumishi pembeni yaani ni raha yenye hatari, tunaiita ngumu kumeza lakini utameza tuuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.