Mtoa hoja apimwe akili au ? Naomba ushauri zitto aligusia maslahi
ya jambo lenye maslahi kwa taifa na akazungumzia jinsi watu wa chama chake
walivyoona ukubwa hoja alioiwasilisha na kuweka tofauti zao pembeni kwa maslahi ya. Wananchi was Tz kwani hao...
Marazote nimekua nikiwaona wabunge viraza kama kina LUSINDE
Ndani ya chama cha CCM!
Je, watanzania tuamini kwamba viongozi wajinga na wa pumbavu kama kina hawa ndio chaguo la wana CCM na hilo li chama lao?
Lusinde ni gari bovu linalotumika kuaribu hewa anakili watu. Wanachangishwa mchango wa maabara lakini anaharalisha wanaokula pesa za nchi wapo sahihi analopoka Zitto kuchukua. Pesa wakati taarifa ya C A G Takukuru. Zote hazimtaji Zitto kuhusika na wizi...
Lusinde mchekeshaji tu hana lolote Fedha zote zilizotoka zimekaguliwa na kupitia kwenye miamala ya bank ndo kujulikana. Waliochukua pesa sasa. Yeye lusinde anaongea kuchekesha bunge amesema mbele ya bunge kwamba zitto aliwai kumpa 150.000 je nazo ni lushwa ...
Willbrord Slaa
Ni kiongozi ambae ameweza amethubutu kutoka azarani na kuzivumbua shida za. Watanzania na kueleza shida kero na matatizo yaliojificha yanayowakabili Watanzania Kitu ambacho. Lowasa atokiweza kwa sababu tayari ana Kashfa nyingi za. Ufisadi Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.