We mwenyewe umejipuuza, ulikuwa na hoja ya ufisadi kwenye UWEKEZAJI majengo ya UVCCM, ukaongwa ukuu wa wilaya ukanyamaza-ukajipuuza, ukawa na hoja ya kujivua gamba ikakushinda-umejipuuza, wewe na Mwenyekiti wako mkasema uchaguzi wenu ndani ya chama ulikuwa wa rushwa Makamo Mwenyekiti wako...