Nimekusoma mwanzo mpaka mwisho…
Swali, je mtoto aliyezaliwa na mwanaume asiye na ndoa hii ikoje.
Kuna kaka yangu anaishi kinyumba na mwanamke na ana watoto 3 hawajafunga ndoa kanisani, msikitini wala bomani na tayari amezaa na mwanamke mwingine mtoto 1. Hii imekaaje? Robert Heriel Mtibeli
Habari zenu kwa ujumla
Nimekuwa nikiota ndoto zinazofanana fanana.
Iko hivi mimi naishi Dodoma, ila ni mwenyeji wa Lindi. Nimezaliwa huko na kusoma huko mpaka secondary. Chuo nikatoka kwenda mikoa mimgine. Kuanzia hapo nikawa narudi Lindi kama mgeni. Miaka 5 nyuma tulihamisha makazi na kuhamia...
Kuna ndoto huwa inajirudia kwangu iko hivi, niloachana na BF wangu miaka 5 iliyopita. Kwa kweli ndio niliyempenda kwa moyo woote. Ila ndotoni kila ninapomuota naota yuko pamoja na maisha yanaendelea wakati tulishaachana miaka mingi kila mtu ana maisha yake ns familia yake. Why nisimuote huyu...
Mie nina mwezi naota niko kijijini tuuu, yaani naona maisha yanaendelea huko tu. Tuko na familia na majirani wa huko na ndugu. Yaani haipiti siku mbili lazima niotr ndoto niko huko!
Yaani kwa hayo maumivu na hizo dalili bado hujakwenda hospitali?
Wacha wanawake tuambiwe ni waoga ila kuvumilia maumivu aisee hapana.
NENDA HOSPITALI TENA KUBWA, YA RUFAA AU MKOA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.