kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kuna jamaa anaitwa Dkt. Ibrahim Chenza amekua akipost akidrive marange na mavogue ya gharama yenye Plate namba za majina yake.
Nimekutana na bandiko mahali kuhusu huyu mtu sijatilia manani sana ni mtu wa kupost magari ya kifahari sana sipendi kufatilia life ya mtu ila huyu mtu anajiita Dr nimeona nimjue ni nani haswa huyu
Nimekutana na bandiko mahali kuhusu huyu mtu sijatilia manani sana ni mtu wa kupost magari ya kifahari sana sipendi kufatilia life ya mtu ila huyu mtu anajiita Dr nimeona nimjue ni nani haswa huyu