Duuh 🙌🏻🙌🏻
Niliwahi kuuliza mwanasheria wangu akaniambia vyote ni sawa ni matamshi tofauti tu
Leo mmenipa ufafanuzi sahihi natambua mwanasheria wangu ni kilaza
Chama kimeshatoa maelekezo ili uchaguzi uwepo nini kifanyike, masaa, siku, wiki, miezi, inazidi kusonga mbele jambo la kufanya ni mamlaka husika ifanye REFORM inayoombwa na CHADEMA uchaguzi uendelee kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.