Recent content by Masalakulangwasa

  1. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania GE2025 James Mbowe: Kesi ya Lissu Watu 300 hawafiki Mahakamani

    Tumbo mbele Ubongoni 0 Maslahi kwa uma 0 Uchawa na uhoko 100%100
  2. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Dkt. Samia - yanayosemwa sasa ni stress za urais 2025 na 2030

    Pameanza kuwa na kautam
  3. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania IGP Camillus Wambura: Rais Samia umefanya mambo ambayo yalitakiwa kufanyika kwa Miaka 50

    Naogopa kusema chochote kwa tajiri bilionea mwenye ma B yake ktk akaunti
  4. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni awaomba rasmi msamaha Waganda. Bado nyie CCM!

    Waganda fanyeni jambo la busara Jamaa wapumzike sasa waachue hatamu Hivi hata aibu hawaoni?
  5. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania Msaada: Je, niandae Affidavity au Deed Poll?

    Duuh 🙌🏻🙌🏻 Niliwahi kuuliza mwanasheria wangu akaniambia vyote ni sawa ni matamshi tofauti tu Leo mmenipa ufafanuzi sahihi natambua mwanasheria wangu ni kilaza
  6. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Amos Makalla: Achaneni na Propaganda za "No reform", Uchaguzi upo, msidanganyike

    Chama kimeshatoa maelekezo ili uchaguzi uwepo nini kifanyike, masaa, siku, wiki, miezi, inazidi kusonga mbele jambo la kufanya ni mamlaka husika ifanye REFORM inayoombwa na CHADEMA uchaguzi uendelee kama kawaida
  7. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

    Nasubiri mashahara uingie nitoe mchango wangu kwa dhati kabisa, Kipindi hiki tunakwara PRADO TX ile new model sokoni
  8. Masalakulangwasa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu kuu mbili zinazoweza kumfanya mwanaume asimsaliti mkewe

    Mwanaume asiye cheat labda ni lisanamu tu masela wote hunacheat k za nje tamu jamani asikwambje mtu
  9. Masalakulangwasa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nitumie dili niliyopewa ukweni hata kama wife ananitambia?

    Hizo ni miradi huyo manzi sababu zinatoka kwa baba yake, Jiandae kuolewa soon utakuwa chini ya milki ya huyo kimbelembe wako, Huna mke umepigwa
  10. Masalakulangwasa

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi pewa heshima ambayo unajiona hauistahili?

    Mm ndimi, Sometimes nikiharibu mahali wapo wanaojitokeza kunitetea kwamba sio mm, huyu hawezi fanya huo upuuzi
  11. Masalakulangwasa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali kwako mke unayefanyakazi na kipato chako hakionekani!!

    Pumbavu nyie Mnakimbilia kuoa madem waajiriwa mkidhani ndo mtapata maendeleo upesi, Sasa mnalia na kusaga meno Kufeni.
Back
Top Bottom