Recent content by MASALAKU

  1. M

    Kusudio la kuwasilsha Hoja Binafsi Bungeni: Lema amtolea uvivu Hussein Bashe, Zitto amuunga mkono

    Toa hoja zako ndg. Hii sio thread ya Mchungaji. Toa mawazo yako kwenye mada husika
  2. M

    Kusudio la kuwasilsha Hoja Binafsi Bungeni: Lema amtolea uvivu Hussein Bashe, Zitto amuunga mkono

    Ndugu wana jforum. Saalamu Nimesoma kwa makini hoja zilizopo kwenye hoja binafsi ya Bashe anayokusudia kuiwakilisha Bungeni katika Bunge la Bajeti mwezi April. Nilichobaini hoja zake ni kama za Mange tu (Copy & Paste) ila kazipaka rangi kidogo. Nimefanya reseach yangu kwa muda juu ya hoja za...
  3. M

    Jarida la The Economist ladai uchumi wa Tanzania unaporomoka, lahamasisha Rais Magufuli adhibitiwe kwa vikwazo kiuchumi

    Umejibu sahihi mkuu kwa mfano. Sisi kama taifa tuendelee kujenga nchi yetu
  4. M

    Kwa kauli hizi naamini Zitto Kabwe ni raia wa Burundi

    Upumbavu wa wanasiasa wengi ni kufikiri kwamba wao ndo wanaakili na kujua mambo kuliko viongozi walio madarakani. Na mmoja wa hao ni huyu zero brain Zitto Kabwe Nchi yenye wasomi sampuli ya mhe Zitto, nchi yangu Tanzania. Ni másikitiko makubwa pale wasomi hawa wanaojitanabaisha kwamba wana...
  5. M

    Sakata la CDA lampaisha kamanda Kigaila Jimboni

    Hivi nchi hii ni lini tutaacha kufanya kila kitu siasa.... Hakuna cha Kigaila wala nini hapa. Haya mawazo yalikuwepo hata tangu ya Kigaila. Mkiishiwa sera kaeni kimya tu acheni watu waliopewa mamalaka wahape kazi. Misiba siasa, CDA siasa tumechoka
  6. M

    Makamu wa Rais kweli umeshindwa kutambua uwepo wa Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa?

    Eti Kutambua uwepo wa waziri mkuu mstaafu! ULE NI MSIBA MZEE SIO JUKWAA LA KISIASA. EMBU TUOMBOLEZE JAMANI.
  7. M

    Natabiri kususwa, kutengwa kwa Magufuli na kudidimia kabisa kisiasa ifikapo 2020

    Labda umuombe shetani. Maombi haba hayo. DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE.
  8. M

    Profesa Lipumba: Namsubiri Maalim Seif aje ofisini nimpangie majukumu yake

    Mbowe alisema Lowasa aliletwa na Dr Slaa, Dr Slaa alisema Lowasa ameletwa na Gwajima na Mbowe,Gwajima alisema Lowasa aliletwa na Slaa akishirikiana na yeye Gwajima, Lipumba anasema Lowasa ameletwa na Mbatia, Mbatia alisema Lowasa ameletwa na Lipumba, Maalim anasema Lowasa aliletwa na Lipumba...
  9. M

    Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Acheni ujinga jamani. Hii nchi ni yetu wote. Tusipende kubeza kila kitu hasa kwa vitu ambavyo hatuvijui. Kuvunja matofali au ubao haina maana kuna vita ianayopiganwa na tofali au mbao ila ni moja ya silaha baridi. Ila pia kufanya hayo ni moja tu ya njia za kujenga ujasiri wa kupambana na...
  10. M

    Nape: Sababu za kuondolewa kwangu kwenye uwaziri bado ni siri, na haziwezi kusemwa

    Eti kuondolewa kwake madarakani kuna siri kubwa ipi? Ni utovu wake wa nidhamu. Nape asijifanye masiha kwamba bila yeye mambo CCM yasingekwenda. Eti anajitapa alimpigia kampeni Rais Magufuli. Sasa kila mtu kwenye kampeni akisema hivyo tutafika kweli.
  11. M

    Nape: Sababu za kuondolewa kwangu kwenye uwaziri bado ni siri, na haziwezi kusemwa

    Nape aache kutapatapa na maneno yake. Wale walio karibu na Nape ni bora wamsahauri akae kimya. Nape ni mtoto kwenye familia asishindane na baba
  12. M

    Mh Rais kamwe usikubali hili jambo wanasiasa wanataka kukupima na haijawai kutokea

    Unajua maana ya kuvuruga amani? Au shibe ya amani ndio inakufanya uyaandike haya
  13. M

    Nafasi kumi za wabunge wa kuteuliwa na hesabu kali za kuwapata

    said well. Japo jamaa ni wagumu kuelewa . Wasipoelewa na hilo somo basi tena tuwaache tu tuendelee na ya kwetu
  14. M

    Kwanini baada ya makosa imebidi panga limshukie Dr. Possi?

    Wakati utaongea kama tunaongozwa kwa KUBAHATISHA au la. Shida manataka kumpangia Rais cha kufanya.Mngesubiri watu waape kwanza ndiyo myaseme hayo kama kusingekuwa na mabadiliko yeyote.Tuwe tunajipa muda kabla ya kushupalia mambo madogomadogo. Kama katiba imevunjwa ipelekeni MOI ikaungwe upya...
Back
Top Bottom