simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Taifa linahitubiwa kupitia wazee/ wahuni wa Dar tatizo lipowapi taifa likuhutubiwa kupitia vijana wasomi? Acha ubaguzi.YAN TUMEFIKIA MAHALI TAIFA LINAHUTUBIWA KWENYE MAHAFALI????
Taifa linahitubiwa kupitia wazee/ wahuni wa Dar tatizo lipowapi taifa likuhutubiwa kupitia vijana wasomi? Acha ubaguzi.YAN TUMEFIKIA MAHALI TAIFA LINAHUTUBIWA KWENYE MAHAFALI????
Unataka hotuba itolewe chini ya mwembe?YAN TUMEFIKIA MAHALI TAIFA LINAHUTUBIWA KWENYE MAHAFALI????
Mbona nyie ccm mnahutubia kupitia wazee wa daresalam sisi hatusemi.mbona mna wivu sana.?ujinga gani Huu? Mmeshindwa kuandaa mjadala Wa kisomi?? Eti kupitia maafali ya chaso...yaani Taifa linahutubiwa kihovyohovyo hivi? Ikosiku tutahutubiwa kupitia mahafali ya chekechea!! Acheni utoto
Kwa maana hakuna namna tena! Huku bastola zinatolewa hadharani, kule kuna askari wa bunge huku siasa zimekatazwa watu wafanyeje?YAN TUMEFIKIA MAHALI TAIFA LINAHUTUBIWA KWENYE MAHAFALI????
Kwa hiyo ni mkutano wa kisiasa? I am very sorry for these youths. The fellow is a conmsn but he knows what he is doing, but they don't. Lissu has risen to the level of utter stupidity, like a scholar who has done deep studies in specific specialisms: he knows more and more, about less and less, until he now knows everything about nothing. Anawaharibia watoto wenu na sitashangaa kama masisiemu yatamfutia kikao sababu za kiintelijinsiya.YAN TUMEFIKIA MAHALI TAIFA LINAHUTUBIWA KWENYE MAHAFALI????
Mmmmh mkuuKwa hiyo ni mkutano wa kisiasa? I am very sorry for these youths. The fellow is a conmsn but he knows what he is doing, but they don't. Lissu has risen to the level of utter stupidity, like a scholar who has done deep studies in specific specialisms: he knows more and more, about less and less, until he now knows everything about nothing. Anawaharibia watoto wenu na sitashangaa kama masisiemu yatamfutia kikao sababu za kiintelijinsiya.
WM
Na: CHADEMA STUDENT'S ORGANIZATION- DODOMA (CHASO)
CHASO mkoa wa dodoma inatarajia kufanya mahafali yake ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya mkoa wa Dodoma Tarehe 16/06/ 2017 (Ijumaa) ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mh. Tundu lissu (mwanasheria mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo- CHADEMA) Na Rais wa TLS.
katika mahafali hayo Mh. Tundu Lissu anatarajiwa kuongozana na mwenyekiti wa Kanda ya kati Mh. Alphonce Mbassa kuongea na wasomi wote wanachama na wapenzi wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.
Kupitia mahafali hayo Mh. Tundu lissu anatarajiwa kulihutubia taifa na kujibu hoja zote za maswala ya raslmali za nchi na mikataba ya raslmali za nchi na mikataba ya kisheria inavyo liangusha na kulifanya taifa kuwa maskini.
Mada aliopewa na wasomi wa vyuo vikuu kuifafanua kisomi ni
"Mchango wa wasomi katika kusimamia, kukosoa na kupendekeza usimamizi na matumizi mazuri ya rasilimali za taifa"
kupitia mada Tajwa Mh. Tundu lissu atajibu hoja zote za kisiasa zilizotolewa na zinazo endelea kutengenezwa na makundi mbali mbali za kijamii za upotoshaji wa uhalisia wa mikataba ya raslimali za Taifa.
Afisa habari CHASO mkoa wa Dodoma Amethibitisha kuwa mahafali yatakuwa Live (Mubashara) kupitia mitandao yote ya kijamii ya CHADEMA.
Nae mjumbe wa kamati maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Dodoma amethibitisha kuwa maandalizi yote ya mahafali ya kisomi na kihistoria yamekamilika na kilichobaki kwa sasa ni mahafali kufanyika.
Mratibu wa CHASO mkoa wa Dodoma amethibitisha kupata kibali cha Jeshi la polisi wilaya ya Dodoma kupitia kwa OCD-DODOMA MJINI. Hivyo kuwataka wasomi wasomi wote kushiriki kwa nguvu na ummoja wao kushiriki na kupata maalifa ya uchambuzi wa kisomi usio egemea upande wowote.
UKUMBI: AFRICAN DREAMS
TAREHE: 16/06/2017
SIKU: IJUMAA
MUDA: Saa 5 asubuhi mpaka saa 11:30 jioni
Imetolewa na Idara ya Habari
CHASO MKOA WA DODOMA
Unamhitaji wewe usisemee watu wengineTundu Lissu ni kati ya watanzania bright sana tunaowahitaji ili taifa nipate maendeleo endelevu
Kwa akili ndogo ni vigumu sana kumuelewa Lisu!Tatizo lake huwa anaaacha ajenda ya tukio anaaanza siasa