wajiandae kisaikolojia na AKIMALIZA TUNAMUONGEZEA.Naomba nitumie lugha laini na nyepesi kwa wote mlioko ndotoni kuwa magufuli atakosa uungwaji mkono 2020 kutoka kwa Watanzania wengi kuwa ni WAKUPUUZWA. Mwaka 2020 magufuli anaenda kuwa raisi kwa kuchaguliwa kwa asilimia 90 ya wapiga kura.
Mungu tupe uhai mrefu ili hawa watu wauone ukuu wako.Amen