Recent content by masagala crew

  1. M

    1500 years Old Bible found in Turkey

    Tutajuaje imeandaliwa na mpinga Kristo. Hebu tuache siye na imani zetu. Fuata imani yako. Kwa hili hatuhitaji ushauri wako[emoji57] [emoji57] [emoji57]
  2. M

    1500 years Old Bible found in Turkey

    Fuata yako mkuu. Amini uaminivyo mkuu. Kila mtu na imani yake.
  3. M

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Habari doctor! Nasumbuliwa na nyama za pua. Nifanyaje kapunguza maumivu?
  4. M

    Nyama za pua kwa mtoto

    Msaada jamani. Naweza kutuliza vipi maumivu/kero ninazopata kwa kuwa na nyama za pua? At least kwa muda maana nilipo siwezi kumuona daktari.
  5. M

    Utafiti: Watu wengi wanaoiunga mkono CCM, ni wale ambao hawajatoka nje ya Tanzania

    Me mutuuuuus big up Hebu muulize hao bodaboda woote wanaom support el wamefika nchi zipi?
  6. M

    Nimepoteza fedha kwenye account yangu ya CRDB

    Kuna wife Wa mtu alikuwa akimuibia mumewe hajui mume kustuka millions hakuna kwenda benki camera mkewe live bila chenga.. Wife alikuwa akijenga nyumba sasa hubby kanuna majina ya mkewe. Shughuli.
  7. M

    Amebadilika sana, nikimuuliza anasema yupo bize

    Lol Ana mwingine huyo hiyo ni kawaida ya wanaume best..kipya kinyemi. Unaweza ukaumwa wala asijali..hata kukujulia Hali hata text unaendeleaje. Kumbe kapata kimwana mpyaaa. We muombe Mungu km wako atakuwa. Hili swali muulize Mungu.
  8. M

    Kufunga Barabara kwa shughuli binafsi

    We acha...me siku hiyo nakuta mtaa Wa Yombo barabarani imefungwa..nkauliza vijana ni Sawa kufunga mtaa sababu ya maulid? Wanasema wana kibali..sasa je ni Sawa kutoa kibari kufunga mtaa.
  9. M

    Wanawake mnaotumia PAD moja siku nzima badilikeni, ina madhara

    eeeeh? inawezekana kwelii??au me nna tatizo jamaani...moja haimalizi two hrs...imejaaa sasa siku nzima?hapana haifai.
  10. M

    Walaji wa Apples, mahindi ya kuchoma na karanga

    me nkitamani sana muwa nakaa pembeni kwanzq ya muuzaji mbali kidogo..nimuone anawekaje miwa yake paktini..wengi siku hizi hawapulizi..wanavaa vimifuko kisha wanashika miwa huku wamevaa vimifuko laini na kuipikicha mifuko ili waweke miwa pasipo kupuliza. big up wauza miwa wa aina hiyo.
  11. M

    Walaji wa Apples, mahindi ya kuchoma na karanga

    ni kweli aisee..hatufikirii mbali ktk hili.
Back
Top Bottom