Tutajuaje imeandaliwa na mpinga Kristo. Hebu tuache siye na imani zetu. Fuata imani yako. Kwa hili hatuhitaji ushauri wako[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Kuna wife Wa mtu alikuwa akimuibia mumewe hajui mume kustuka millions hakuna kwenda benki camera mkewe live bila chenga..
Wife alikuwa akijenga nyumba sasa hubby kanuna majina ya mkewe. Shughuli.
Lol Ana mwingine huyo hiyo ni kawaida ya wanaume best..kipya kinyemi. Unaweza ukaumwa wala asijali..hata kukujulia Hali hata text unaendeleaje. Kumbe kapata kimwana mpyaaa. We muombe Mungu km wako atakuwa. Hili swali muulize Mungu.
We acha...me siku hiyo nakuta mtaa Wa Yombo barabarani imefungwa..nkauliza vijana ni Sawa kufunga mtaa sababu ya maulid? Wanasema wana kibali..sasa je ni Sawa kutoa kibari kufunga mtaa.
me nkitamani sana muwa nakaa pembeni kwanzq ya muuzaji mbali kidogo..nimuone anawekaje miwa yake paktini..wengi siku hizi hawapulizi..wanavaa vimifuko kisha wanashika miwa huku wamevaa vimifuko laini na kuipikicha mifuko ili waweke miwa pasipo kupuliza.
big up wauza miwa wa aina hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.