Recent content by maryo yonatasi pomoni

  1. M

    CHADEMA yaiomba serikali ijenge kinu cha kusafishia mchanga

    Walianza kushauri tangu muda mrefu,sasa hv kwa sbb ya hasara hiii hakutakuwa na bdiyo ndiyo,tuanze au tujifunze kusema hapanaaaaaaaa
  2. M

    Kati ya wawekezaji na serikali ya CCM mwizi ni nani ?

    Tuwalaumu wabunge kwn wao ndio kisheria mikataba yote lzm ipitia pale na wao waijadili waone kama inafaa kupitisha,lkn wao ni watu wa ndio tu ukisema hapana kama walivyokuwa wanafanya (ukawa)mnaonekana hamlitakii mema taifa,onna wanaolitakia mema taifa Kwa mwz.kontena 3000 mara mwaka,mara miaka...
  3. M

    Kati ya wawekezaji na serikali ya CCM mwizi ni nani ?

    Mungu kwa upendo wake awapa mali na wao bila kujua kuwa wayafanyayo sio sahihi hawakukoma wakaendelee kuyafanya,alitokea msamalia mwema akawauliza ni kwa nn unafanya hayo?(lissu)wakamwambia hayakuhusu,tulipata bure tunatoa bure. Lissu,akawauliza tena mnajua mfanyalo,wakamjibu hata tukijua ww...
  4. M

    NAHITAJI MKE

    Huwezi kumpata mke mwaminifu kwa vigezo hv,awe mweupe awe na 19/25.Watakupigia wengi sana najua muda si mrefu utatutumia tena yatakayokusbu.Nakuonea huruma mdogo wangu sehemu za kupata mw.mke sio humu
  5. M

    Polepole: Walitaka kumhonga Rais Magufuli Sh. Bilioni 300 ili asifanyie kazi taarifa ya mchanga

    Hasara ni tilioni 1na point hlf ahongwe b.300,tutoe taarifa zenye usahihi. Kaka yetu pole2 asiingize siasa kwenye hili,mara nyingi jambo zr halinaga mwelekeo pindi inapoingizwa siasa
Back
Top Bottom