Anyway! Asanteni kwa ushauri wenu, kwa walionishauri mazuri Mungu awabariki na hata hao wengine walionishauri kinyume nawashukuru pia, Ila nimegundua kweli uzinzi umepewa kipaombele Sana kwa nyakat hizi.
Nyie mnaosema hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia, endeleeni tu kuwachezea mabinti wa watu...
Duh! Kuna watu wananivunja moyo jamaniii, huo ndo msimamo wangu siwezi badilisha.
Mnataka nigawe nionjwe alafu mtu akuoi unaachwa na mimba juu akuuh! Sitaki. Najua Mungu haaibishi hata kidgo ukimuomba mkate hawezi kukupa jiwe Wala ukimuomba samaki hawezi kukupa nyoka.
Anajibu kwa wakat...
Mimi mi binti wa miaka 24 kila nikimpata mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano huwa najua ndo mume wangu kumbe sio mtu sahihi wa kuitwa mume.
Nimeshakuwa kwenye mahusiano Mara ya Pili Sasa..
Unakuta naanzisha mahusiano na mtu vizuri tu ila akishanitajia sex basi simtaki Tena, nilijiwekea msimamo...
Habari zenu wadau!
Naitwa Mary nipo Arusha kwa morombo, natafuta kazi Nina diploma ya Airticketing ikikosekana hiyo Niliyosomea basi nafanya kazi yoyote ile Kama vile kuuza duka la aina yoyote, kiwandani, supermarket n.k au yoyote ile kasoro zile zisizompendeza MUNGU... jamani wapendwa wa Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.