Poluyakhtov
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 353
- 296
Habari za muda huu wanajukwaa.
Kama kichwa kinavyojieleza,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,Elimu yangu ni kidato cha sita,natafuta kazi yoyote kati ya hizo nilizoorodhesha hapo juu.
Nipo Dar eS Salaam.
Nina uzoefu usiopungua miezi 8 wa kufanya kazi ya Ulinzi na kubeba mizigo katika hoteli hapa mjini.
Kama kuna fursa yoyote naomba unitafute.
Kama kichwa kinavyojieleza,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,Elimu yangu ni kidato cha sita,natafuta kazi yoyote kati ya hizo nilizoorodhesha hapo juu.
Nipo Dar eS Salaam.
Nina uzoefu usiopungua miezi 8 wa kufanya kazi ya Ulinzi na kubeba mizigo katika hoteli hapa mjini.
Kama kuna fursa yoyote naomba unitafute.