Nashon daniel277
New Member
- Aug 18, 2018
- 2
- 1
Kwa majina naitwa zabron Daniel ni mkazi wa Dodoma ni mhitimu wa kidato cha NNE natafuta kazi yoyote ile ila Mimi ni mzoefu wa kuuza duka, namba yangu ni 0765822914. Asnte Mungu awe nanyi.
Usijali utapata Ungekuwa Arusha ungepata nmefungua Duka I nnaprefer mwenyeji wa Arusha inakuwa rahisi kumfanyia vetting siunajua Watu uaminifu umepungua sana.USIKATE TAMAAKwa majina naitwa zabron Daniel ni mkazi wa Dodoma ni mhitimu wa kidato cha NNE natafuta kazi yoyote ile ila Mimi ni mzoefu wa kuuza duka, namba yangu ni 0765822914. Asnte Mungu awe nanyi.
Kaka nipo Arusha-morombo, Kama hutojali naomba hiyo kaziUsijali utapata Ungekuwa Arusha ungepata nmefungua Duka I nnaprefer mwenyeji wa Arusha inakuwa rahisi kumfanyia vetting siunajua Watu uaminifu umepungua sana.USIKATE TAMAA