Yani iyo nipoa kabisa mana walizidi kujifanya miungu watu wengine walikuwa wana sinzia wakisubiri kupiga makofi tu na posho wanapata kwa hali hii wataenda watu wenye uchungu na nchi
Umeona ee nakuunga mkono wasitupotezee muda kuungua juani wanapoteza ela kuandikisha watu kumbe wao walishajua juwa matokeo yao inauma sana kuwaonea waazanzibari hawaeshimu matakwa ya wananchi
Hayo ni maneno yako kama wewe wazazi wako walipata neema ukaweza kuwezeshwa hata mtaji ukajiajiri huwezi kuichukia serikali ila hamu ya vijana ni serikali kuweka mfumo rafiki ambao utawezesha vijana kupata kazi mfano idara ya kilimo pembejeo zingekuwa wanakopeshwa angalau baada ya miaka...
Na nyie mnao tanguliza fiesta hamjioni na hao wanao jiiita timu bajaji kwenda kuwahadaaa wamama wawatu ambao wanakuja kusota miaka mitano wao wakila bata dar iyo ni halali au ndo siasa zetu za bongo wajinga ndio waliwao
Kama nikweli yuko safari c waseme ni ya mda gani na kama amerudi ajitokeze atuambie yuko futi mana I serikali haiaminiki na ckuzote njia ya mwongo fupi kama wao wamemchoka c bado tunampenda kama ni uzushi atokee yule bro alokamatwa aombe msamaha hadharani akiwa na mamnyange ndo Nita amini
Ndo mana wanatuona c wajinga mtu anajali tumbo lake na familia yake anasahau kwamba yupo kwa niaba ya wengine wanakazana vijana wajiajiri kama mzazi wako hana uwezo utajiajiri vp ndo mana tunaambiwa Tanzania co kisiwa cha amani Bali cha uvumilivu
Hayo ndo maisha bora kwa kila mtanzania pengo limezidi kuongezeka kati ya masikini na tajiri hao viongozi hakuna ambae atampeleka mwanafamilia yake kwenye hizo hospital
Asante yani watu wengine wanakera sana ukweli wanaujuwa ila wanajitia upofu iyo ajira ya serikali yenyewe kuipata jasho linakutoka unaweza sota mtaani ata miaka 2 viwanda vya serikali vimekufa vingi ni magodaun
Kuna uyu mtu anajifanya yeye anajuwa kutumia fursa ivi mtoto Wa mkulima aliyesoma kwa shida mlo Wa familia kwa cku ni janga hata akimaliza chuo kwa uo mkopo Wa serikali atajiari VP bila kuwezeshwa au ndo akalime kwa jembe la mkono we kama wazazi wako Wa Lumumba ucfikiri izo dili zenu zinafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.