mafundisho
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 388
- 136
Ukawa wamebaki ni watu wa kulalamika tu
Wanatapatapa kutafuta huluma,imekula kwao hata udiwani hawapati.
Utaishia hivyohivyo hujui kama unaongea na Engineer, Mi sina njaa ndogondogo kama zako.
Mazishi ya maviccm bado ciku 23. Jembe na nyundo tutaviweka makumbusho.watoto wetu wajue tz ilitawaliwa na hwa majizi
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
nadhani ,Kauli za baadhi ya viongozi wa chama tawala nazo zinachangia mfano tutashinda hata kwa bao la mkono, mara ccm haitakuwa tayari kuachia madaraka kwa chama pinzani kwa namna yoyote ile na kauli nyingine nyingi kama hizo.UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
Tatizo mkuu wengi wao ni malofa wa kufikiriUKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??