mary moses
Member
- May 3, 2015
- 21
- 1
Kwanini mwana sheria wa nec kaingia mitini na alikuwa ahudhurie kipindi!???au amekwepa aibu maana angeumbuka
Atakujaje wakati anajua walilolifanya kwa wanacho sio sahihi wangekuwa wameshinda wao wasingefuta matokeo mkuki mtamu kwa nguruwe tu