dah humu ndani kuna mambo c mchezo adi discrption ya papucha. mtoa mada ebu fanya experience kwa wifilo afu utujuze na wengine jamvini.:banghead::thumbup::confused::confused:
ulieketa mada mwenyewe unaishi kwa mkopo hivyo uko kutafuta wafuasi wako na it sims huna majukumu ya kukukeep busy aisee maana usingepata mda wa kufatilia maisha ya mtu
acheni kuongea maneno ambayo hamjafanya reseach wala evidence hakuna unaesema cbe chuo cha machangudoa inaezekana na wewe ni miongoni mwa machangu hao xo huwa mnakutana gengen.
den kuongoz cbe huwa ina instalment 3 za ulipaji ada.
vipindi vipo kila cku asubui na ucku pia na test za cbe hazinaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.