Recent content by Marx freeman

  1. Marx freeman

    Nyimbo nyingi za bongo fleva zinahamasisha usaliti na kuachana

    Saivi ni kula na kukulana tu
  2. Marx freeman

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Umeniweka macho mpaka saivi boss.. Sijali kama ni uongo au vipi..nimependa story
  3. Marx freeman

    Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

    Kitaalamu unaitwa both team to score..dadeq
  4. Marx freeman

    Vikwazo vinavyowekwa dhidi ya Klabu ya Chelsea vitaifutilia mbali

    Hii timu haiwezi kufa nafikiri hivi ni vikwazo vya mda tu.. lengo lao wanataka kumfilisi jamaa tu..timu iwe chini ya serikali then wao waiuze.. Kuchanganya football + politics ni upimbi wa kiwango cha lami
  5. Marx freeman

    Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Inavutia sana hii mada..binafsi nimekuelewa sana Nafikiri makanisa yapo ili kutupotosha wanadamu wenye nafsi na kupiga pesa tu..
  6. Marx freeman

    Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

    Hata hao annunaki walitokea wapi.. who created them.
  7. Marx freeman

    Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

    Hii story intia hasira sana.. mi nashauri uhamie kwa mdogo wake na dada mtu ajue
Back
Top Bottom