Recent content by marveljt

  1. marveljt

    Rais Magufuli afanya mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa Israeli, ashauri iwepo ndege ya kutoka JNIA, KIA hadi Israel

    Hivi wasimamizi wa viwanja wameshindwa kumwambia kuwa kuna ndege inayotua mara moja kwa wiki toka israel. Leo saa 12 kuna inayotua au wanataka atcl pekee?
  2. marveljt

    IGP Sirro: Ole wake atakayeandamana bila kufuata sheria

    Hivi hayo maandamano yameandaliwa na chama gani
  3. marveljt

    Je ni kweli hifadhi ya Ngorongoro haina tembo majike?

    Tango lingine hili,wote wapo,madume,majike na watoto wanyama ambao hawapo ndani ya kaldera ni kama impala,twiga,mbwa mwitu n.k. Tembo jike pindi akikaribia kuzaa huwa anatoka na kwenda kuzalia nje kutokana na usalama kwa watoto wao na baada ya hapo hurudi. Katika wanyama wanaoishi na watoto...
  4. marveljt

    Do Airplanes Reverse? Have Side Mirrors??

    Du, ndugu hili ni tango pori,kwa maelezo yako tokea mwanzo unapoteza watu, nina maswali kidogo,je ndege inashusha na kupakia wapi abiria? Je,ndege inapokuwa inapakia abiria hakuna majengo? Je, ndege ikakiribia runway rubani akapata taarifa kuwa kuna ndege nyingine inatua inazimwa au inakuwa...
  5. marveljt

    TANGA: Abiria wanusurika kupotea maisha baada ya basi la Tahmeed kuteketea moto

    Vipi mali za abiria? Je, watalipwa au ndiyo nitolee
  6. marveljt

    Lukin for a frnd

    Kama uko serious ni pm wewe kwanza
  7. marveljt

    Lukin for a frnd

    Mh
  8. marveljt

    Movie kali ambazo hutakiwi kuzikosa mwaka 2018

    hivi speed natakiwa kuweka ngapi kwenye kudownload kwenye torrent
  9. marveljt

    UTAFITI: Je, Unafanyaje Manunuzi kwa njia ya Mtandao?

    Walikunyooshaje? Ni vizuri pia kusoma feedback zinazomhusu muuzaji
  10. marveljt

    UTAFITI: Je, Unafanyaje Manunuzi kwa njia ya Mtandao?

    Mbona mimi narudishiwa moja kwa moja kwenye akaunti yangu? Kuna kipindi niliagiza iPhone kwa bahati mbaya haikufika hivyo nikawasiliana na ebay ambapo waliwasiliana na paypal. Baada ya wao kujiridhisha walifanya refund na wakaweka moja kwa moja kwenye akaunti yangu.
  11. marveljt

    msaada wakuu

    Sawa ndugu
  12. marveljt

    msaada wakuu

    Za asubuhi naomba msaada kwa mwenyekujua sehemu panapouzwa hiki kifaa pamoja na bei yake (Pocket Bluetooth USB Printer)
Back
Top Bottom