Recent content by Marshalow

  1. M

    Sherehe za Uhuru kitaifa mwaka 2021 ni Dodoma au Dar es Salaam?

    Hata mimi ni mdau wa gwaride lakini siku hizi mpaka leo nimeshindwa kujiandaa kwa sababu ya ufinyu wa taarifa.hivyo bado sijaaga.ila nimeshuhudia magari ya kijeshi wakipeleka vifaa vita dar.na nimeshuhudia ndege vita vikifanya mazoezi dar.i hope itakuwa mkoani dar na sio makao makuu ya dodomya.
  2. M

    Je, Serikali imedanganya Umma? Wako wapi wenye vyeti feki waliorejeshwa kazini au kulipwa mafao yao?

    Dah tunatafuta matumizi ili tu tutumie na si kutumia kwa maslai mapana ya umma.
  3. M

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Kwa nini tubro zinauzwa mkononi kuliko non turbo?sijapata jibu.
  4. M

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Naona wengi wenye turbo wanauza sijui kwa nn?
  5. M

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Buigiri ,?msafara ukitokea wapi usiku huu?
Back
Top Bottom