Recent content by Marshall plan

  1. M

    Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

    Wewe dada unaosha naniiii.... Yako muda gani khaaa... Legacy ya mtu halilazimishwi kudumu kama sio ya kudumu. Mbona Nyerere hakutumia nguvu hivi?? 😀
  2. M

    Dr John Pombe Magufuli, one of the best to ever do it, a true legend

    Wizi uliyopaa katika awamu yake umesababisha Umasikini mkubwa kwa raia Vijana wasomi kukosa ajira Ukosefu wa madawa hospitalini Hakika ni shuja aliyetukuka katika kivuli cha wanyonge na wajinga wakitanzania
  3. M

    Rais Samia Suluhu ataka nafasi 6,000 za walimu kujazwa

    Huo mfumo haupo katika suala la kuajiri, wewe kama ulijitolea ni kwa mapenzi yako.
  4. M

    Rais Samia Suluhu aitaka Wizara ya Habari kuvifungulia Vyombo vya Habari vilivyofungiwa. Avitaka kufuata Sheria na Kanuni

    😀 Kunguni wansagwa upande wenu Sasa, hakuna atakayekuwa na furaha ya kudumu. Ngojaaa na sisi waungwana na wenye mapenzi ya kweli na nchi tufurahi na kuindeleza nchi katika mising ya haki na usawa, nyie kaeni pembeni muone maajabu ya mungu. MATAGA wako hoiiiiiiiioiooo
  5. M

    Msimamo wangu: Sirudishi biashara zangu Tanzania

    Wewe acha kudharau watu usiowajua kwasababu wewe ulikuwa kitoweo cha Boss wako. Sio wote wanawaza teuzi kama wewe.
  6. M

    Chama cha CNN-FDD cha Burundi cha mpongeza Dr. Mpango kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Sasa wewe unawazuia watu kuuliza kama nani? Afu usilazimishe unachokiju wewe na wengine waamini, asili ya binadam nakuuliza
  7. M

    Chama cha CNN-FDD cha Burundi cha mpongeza Dr. Mpango kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais

    😀😀 Kwamba hao wasandawe mmoja wao ndio yule jamaa mwenye nyao zake pale Raitoria-Ngorongoro??
  8. M

    Chama cha CNN-FDD cha Burundi cha mpongeza Dr. Mpango kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Kumbe ana-asili ya .... Sasa kama unajua hilo kwanini unakataza watu wasiulize?? Hata Obama alihojiwa akajibu Wala sio dhambi. Una povu mpka linamwagika
  9. M

    Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

    Praise timu naona Sasa lugha tunayotumia ni moja. Hongeraaa kwa dozi unayotumia sasa
  10. M

    Tusijitoe fahamu kudai kuwa Tanzania hakuna wanyonge, wapo wengi sana ndio maana walilia kwa uchungu

    Ni vema ungejilidhisha na kujikitaa kutoa maana halisi ya neno Mnyonge ila sio kutoa upuuzi huu. Mnyonge anaweza kujitafutia chakula? Mnyonge anaweza kulipa kodi?? Mnyonge anaweza kumlipa mshahara mtu ambaye anamwita mnyonge? yaani serikali inatengenezea watu mifumo mibovu tena kandamizi ili...
  11. M

    Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

    Acha kudanganya watu we puto, Huyu mpango ametolewa W.B na JK kuja kupambana na mpango wa BRN! Kama huna unachokiju kaa kimya sio kuwa poyoyo
  12. M

    Jicho la mwewe: ATCL saga

    Watu hatuwazi Wala kulaumu ununuzi wa ndege, tunachohoji mbona tulikuwa tunaambiwa shirika limepata faida na kutoa gawiwo kwa serikali lakini kumbe linaendeshwa kwa hasara kubwa, je huko kurudisha ilikuwa n mradi wakutudanganya ili watuibie kwakisingizio hicho?? Hamna awamu iliyojaaa madudu na...
  13. M

    Bila Shaka CCM inahitaji utulivu ili nchi itulie

    Eheee sio CCM ya jpm?? yaani Jpm kaimarisha CCM ipi?? Amewahi kuwa hata mwenyekiti wa tawi la CCM??, Au namna ya ujengaje wa chama siku hizi nikuwanunua kina wapinzani.?? Wenye chama wanakitaka nyie CHAWA wa burigi mfuateni mwendazake.
  14. M

    Kumbukizi ya Mama Samia Suluhu: Mawaziri wanaojibu ovyo huko ndani, ni mimi na wao. Watanijua mimi ni nani

    Hakika inawezekana Mama Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan aliishi katika Umakamu wa Rais pasipo kuheshimiwa na walio chini yake! Hawa watu leo wanajisiakiaje. Twende hivyo hivyo. Nimepeni majina yote. Mimi nitaomba niingie huko. Nikiingia, hao mawaziri wanaojibu ndivyo sivyo, tutajuana...
Back
Top Bottom