Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Hakika inawezekana Mama Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan aliishi katika Umakamu wa Rais pasipo kuheshimiwa na walio chini yake! Hawa watu leo wanajisiakiaje.
Mkuu andika vizuri basi yaani kama.mwanafunzi wa chekechea!!HAKIKA INAWWZEKANA MAMA MH RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ALIISHI KATIKA UMAKAMU WA RAIS PASIPOKUJESHIMIWA NA WALIO CHINI YAKE!! Hawa watu leo wanajisiakiaje
Mataga tuliaMkuu andika vizuri basi yaani kama.mwanafunzi wa chekechea!!
Nilifikiri uliunga juhudi na marehemu kumbe upo? 😁Mkuu andika vizuri basi yaani kama.mwanafunzi wa chekechea!!
Vipi umeshahama tayari kwenye Saccos yako ya Chadema?Mama usiogope tunakuunga mkono fyagia fyagia halafu walete fyokofyoko
Nipo mkuu tunapiga kazi mpaka hawa nyumb waitike abee!!Nilifikiri uliunga juhudi na marehemu kumbe upo? 😁
hii ya lini tena?
Mimi ni Chadema tutamlinda Raisi wetu dhidi ya Majangili wa Awamu iliyopitaVipi umeshahama tayari kwenye Saccos yako ya Chadema?
😂😁😀😆😆mama kamatia hapo hapo
Kakoko Amekanyaga Mtandio Wa Mama Mpaka Chali Cha MendeTusimwamini sn
DuKakoko Amekanyaga Mtandio Wa Mama Mpaka Chali Cha Mende
Akileta tunalianzishaTusimwamini sn
Hata mwendazake alianza vizuri snAkileta tunalianzisha