Dr John Pombe Magufuli, one of the best to ever do it, a true legend

Rais John Pombe Magufuli alifanya vitu vingi kwa research na sio kwa hisia
Nadhani research yake ndio ilimplekea kufikiria corona utashinda kwa kufusha na kula miti shamba.... 🤷‍♂️
Tanzania ilijizolea umaarufu hasa nje ya nchi pale ilipopinga kukusanya takwimu za ugonjwa huu. Tulikuwa miongoni mwa nchi 2 duniani pekee ambazo ziliamua kutumia njia za kienyeji. By the way hii haikuwa sifa nzuri ya kupigia kifua!
 
Mataga manakazi sana ya kumsifia mtu ambae alimiani anaweza kila kitu
 
Hakuna anaemchafua Magufuli,Magufuli kajichafua yeye mwenyewe,
CAG anaeanika huu uovu alimteua yeye mwenyewe,kama alilitia Taifa hasara tusiseme?,nan alimwambia Magufuli akanunue ndege bila kumfuata utaratibu?
Nan alimtuma Magufuli ajenge uwanja chato,bila kufuata utaratibu,
Mambo kibao kafanya KWA utash wake tuh kwa kujitafutia Umaarufu na kulitia Taifa hasara,na hata angekuwa hai tusingethubutu kuyaona haya maovu yake,so kama ww na ccm wenzake ambao mlikuwa mnanufaika na upigaji wake chukueni time zenu,yule kwetu sisi ni mwiz tuh kama wezi wengine,bahata yake kafa,angetueleza yule
 
Kumchafua JPM ni kupoteza muda, Alama alizo acha katika kulipigania Taifa Zinaongea zenyewe vizazi kwa vizazi vitaona na ku enzi alichopigania.
 
Hakuna anaemchafua Magufuli,Magufuli kajichafua yeye mwenyewe,
CAG anaeanika huu uovu alimteua yeye mwenyewe,kama alilitia Taifa hasara tusiseme?,nan alimwambia Magufuli akanunue ndege bila kumfuata utaratibu?
Nan alimtuma Magufuli ajenge uwanja chato,bila kufuata utaratibu,
Mambo kibao kafanya KWA utash wake tuh kwa kujitafutia Umaarufu na kulitia Taifa hasara,na hata angekuwa hai tusingethubutu kuyaona haya maovu yake,so kama ww na ccm wenzake ambao mlikuwa mnanufaika na upigaji wake chukueni time zenu,yule kwetu sisi ni mwiz tuh kama wezi wengine,bahata yake kafa,angetueleza yule
Asalam aleikum!
Karibu tena jamvini
 
Wizi uliyopaa katika awamu yake umesababisha

Umasikini mkubwa kwa raia

Vijana wasomi kukosa ajira

Ukosefu wa madawa hospitalini

Hakika ni shuja aliyetukuka katika kivuli cha wanyonge na wajinga wakitanzania
 
DR JOHN POMBE MAGUFULI,ONE OF THE BEST TO EVER DO IT,A TRUE LEGEND.

Leo 23:15hrs 09/04/2021

Wote wanaomsema vibaya na kupuuza fikra za Rais wa awamu ya tano,Dr John Pombe Magufuli juu ya miradi aliyoanzisha Hayati Rais John Pombe Magufuli hasa wanaccm ni wanasiasa wanafki na wazandiki wenye kutafuta fursa kulingana na upepo,Awamu ya nne ya CCM tumeishi bila furaha kuvaa sare zetu za chama, wanaccm tulibeba image mbaya sana hakika tulijisikia fedheha sana hata nguo zetu tulibeba kwenye mfuko kwenda kuvalia kwenye vyoo vya ukumbi,njiani hatukuweza kuvaa sare za CCM maana tulizomewa,watu wamesahau hili,

Awamu ya tano ya Hayati Rais Magufuli tulipiga vifua vyetu mbele za watu nakukitukuza chama chetu cha CCM,Awamu ya tano CCM iliongea lugha moja na kila mwananchi wa Tanzania kasoro mafisadi na kwa hakika mafisadi yalijificha yakawa yanachat kupitia akaunti ya kigogo,Awamu ya tano ya Rais John Pombe Magufuli ilikuwa ni fahari kua mwanaCCM tena kila mmoja alitamani kugombea nayeye awe sehemu ya serikari ya CCM ya Awamu ya tano, leo tunatafuta umaarufu kwa kumchafua huyuhuyu aliyetufanya wanaCCM tujipige pige vifua na kuvaa sare zetu mtaani na tukaheshimiwa na watoto,vijana hadi wazee.

Niseme wazi bila ujasiri wa hayati John Pombe Magufuli nchi hii isingekuwa hapa kwa maana ujasiri wake uliwatisha hata wapigaji, kuhusu suala la corona ujasiri wake ndo unawafanya Watanzania leo watembee kifua mbele hata barakoa watu hawana time nazo Shahidi Tundu Lissu aliyezunguka kufanya kampeni Tanzania nzima bila barakoa na hata sasa Chadema akiwemo kigogo wanazurura bila barakoa wakitumia falsafa ya Daktari John Pombe Magufuli,Ujasiri wa Daktari John Pombe Magufuli unafanya watu sasa wanachakula na uchumi mifukoni,kila anayembeza huku anakula hazina ya juhudi za John Pombe Magufuli tunamuomba Mwenyezi Mungu azichukue hazina hizo zote na neema walizopata kupitia uwepo wa Daktari John Pombe Magufuli kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Rais John Pombe Magufuli alifanya vitu vingi kwa research na sio kwa hisia ndio maana watu watamchafua lakini aliyoyafanya yatasimama hata upepo na dhoruba zipite his legacy shall stand the test of time,huu ni muda wa waliopewa madaraka kuwa makini sana na legacy ya JMP ambayo itaishi kwa muda mrefu ujao,kwa wanaopinga kuwa JPM sio mzalendo wa nchi hii wanastahili huruma ya mungu...

Serikali ya CCM ya awamu ya nne,iliyoongozwa na Rais Jakaya Kikwete iliweka legacy ya ujenzi wa barabara kwa mkono wa Daktari John Pombe Magufuli hakika jasho la John Pombe Magufuli limemwagika kwenye ardhi yote ya Tanzania na kuikomboa Tanzania,Mungu awapige makofi wote wanaotafuta fursa na upigaji kwa kumsema vibaya Hayati Rais John Pombe Magufuli hasa waCCM.Mungu amlaze salam JPM hakika hata kama wahuni wakishindwa kumheshimu kisa hayupo,familia yake iliyojitokeza kwenye msafara wa mazishi yake itamheshimu.

Uchaguzi wa 2020, wagombea wengi wameshinda ubunge kwa kutaja tu jina la John Pombe Magufuli maana akitaja jina lake bado waliona hawashindi...
#suala la ripoti ya CAG kama huna uwezo binafsi wa kuchambua mambo kwa kauli ile ya za kuambiwa changanya na za kwako,basi unaweza kubebwa na mkumbo wa mafisadi wasiompenda Hayati Magufuli. I real appreciate the sacrifice of our father John Pombe Magufuli hata awekwe kwenye noti akumbukwe na vizazi vingine maana legacy is worth living.

"Wapo watu duniani hata ukiwabeba mgongoni ukawavusha mto,wakifika ng'ambo watasema limgongo lake linanuka, tuwaombee tu"-Rais Magufuli 02/04/2018

#MimiSioniUbayaWaMagufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Hata kama amefariki lazima tuseme ili waliopo wajifunze

1. Alikuwa mtu mwenye roho mbaya, mshenzi, muuaji na aliyependa kuona watu wenye maendeleo au waliotofautiana nae wakiteseka sana. Mfano wa haya ni kwa vile walivyowafanyia Manji, Erick Kabendera, Ben saanane, Rwabaje, Mama yake Erick Kabendera, Mdude Nyangali, Zacharia na watu wengine wengi

2. Alikuwa mtu Mbinafsi sana, aliyependa sifa zote zirudi kwake. Alipenda kusifiwa, kuonekana yeye ni bora kuliko wenzake. Hata kwenye hotuba zake alipenda kujionesha ni yeye zaidi na wala sio wenzake. Rejea hotuba alizokuwa akisema bila yeye miradi haitofanikiwa. Aliwapa vyeo bila aibu watu waliokuwa wakimsifu yeye binafsi. Mf. Katambi, Sabaya, kafulila, Mrema, Babu

3. Alikuwa mkabila na mbaguzi wa kikanda aliyetukuka. Kwenye awamu yake alijaza watu wa kanda ya ziwa hasa wasukuma na mapandikizi wenzake kutoka Rwanda na Burundi kwenye nafasi nyeti serikalini. Bashiru, Kakoko, Doto James na wengineo wengi ni mifano michache tu. Hawa watu walikuwa hawagusiki na waliweza kufanya lolote lile kwa jina lake na yeye hakusema lolote. Hawa watu waliweza hata kuwadharau waziwazi Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na wala hawakujali mfumo wa utendaji serikalini. Waliweza kupiga simu au kupita moja Kwa moja ikulu hadi kwa Magufuli bila kupita kwa waziri, waziri mkuu au hata Makamu wa Rais.

4. Kwa kujua kwake kuwa ni kweli aliharibu uchumi wa nchi kwa sera zake mbaya, aliwekeza sana kwenye propaganda za kujitangaza sana kupitia vyombo vya Habari ili kuwa brainwash watu wasiofikiri vizuri. Tv zote, magazeti, blogu na hata viongozi wa dini aliwatumia kumtangaza yeye muda wote na kumsifu yeye muda wote ili aonekane ni Bora kuliko wenzake. Ofisi za Taifa zilifanywa kutengeneza data za uongo ili aonekane anafanya vizuri kumbe nchi ilikuwa inaenda pabaya sana. Rejea taarifa aliyotoaga kuwa ATCL inapata faida ya bil 28.

5. Aliwadharau sana wenzake. Na alifanya kila jitihada wenzake waonekane watu wasiofaa ( hasa viongozi waliopita). Aliishi nao kiunafiki akiwatumia vijana wake Kama Msiba, Sabaya , Makonda na Aly Happi kuwatukana na kuwatisha ili aharibu taswira yao kwa jamii na ajitengeneze kuwa ni Bora kuliko wao.

6. Alianzisha mambo ili kuwakomoa watu waliokuwa tofauti nae. As Kofi niwemugizi, Aidan Eyakuze, Yusuph Manji ni wachache kwenye hii list, walianza kuhojiwa uraia, wakanyang’anywa passport na kupewa kesi mbalimbali ili kukomolewa kutokana na kutofautiana nae.

7. Kwa sera zake mbovu, aliharibu kwa kiasi kikubwa uchumi hivyo kupelekea kuwepo tatizo kubwa la ajira . Ili kujiokoa na Tatizo hili Kwa kuwapumbaza watanzania wajinga alianzisha utaratibu wa kujifanya kuwa karibu na Mama lishe na bodaboda huku akisema kuwa wanaruhusiwa kufanya Biashara popote pale. Alifanya hili Kwa sababu alijua kabisa kuwa ameharibu uchumi wa Tanzania na amesababisha watu wengi kukosa ajira. Kuepuka lawama akataka kuifanya nchi nzima kuwa nchi ya wachuuzi huku akiharibu mipango miji na kusababisha walipa kodi wapungue kwa kasi.

8. Kutokana na kuwa na sera mbovu za kiuchumi huku akiiba Mali za watanzania Kwa kigezo cha uzalendo, akiogopa kupinduliwa na jeshi na wasaidizi wake, aliamua kufuatilia maongezi ya wasaidizi wake wote akiwemo Makamu wa Raisi , Mawaziri na viongozi wa Ccm. Alikuwa hadi meseji zao anasoma na alivyo mshamba alikiri hadharani kuwa anafuatilia mawasiliano ya watu. Alianzisha pia utaratibu wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kuwa nae popote pale anapokuwepo. Huu utaratibu ulikuja kuonekana katika awamu ya 5 tu maana Kwa awamu ya 1 hadi ya 4 haikuwai kutokea wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na spika na Jaji mkuu kuambatana na Rais popote pale anapokuwa.

9. Alikuwa muuaji
Niliwai bishia watu wengi kwenye hili ila nilikuja kuthibitisha alipokuja tamka hadharani kuwa huwezi kuwa msaliti alafu uka survive na baada ya hotuba yake iyo Tundu Lissu alikuja kushambuliwa kwa Risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini wake.

10. Alijiona ni Bora kuliko mtu yeyote yule na alitaka neno lake ndo liwe mwisho. Alisema hadharani kuwa hashauriki na kila mtu aliyekuwa akimshauri alimchukulia kama adui yake. Siku za mwisho za uhai wake alitofautiana na kupingana Hadi na viongozi wa dini wa kanisa katoliki ambao waliamua kushauri nchi kuchukua hatua tofauti dhidi ya corona.

Mungu fundi sana! Alale anapostahili mwendazake.
 
DR JOHN POMBE MAGUFULI,ONE OF THE BEST TO EVER DO IT,A TRUE LEGEND.

Leo 23:15hrs 09/04/2021

Wote wanaomsema vibaya na kupuuza fikra za Rais wa awamu ya tano,Dr John Pombe Magufuli juu ya miradi aliyoanzisha Hayati Rais John Pombe Magufuli hasa wanaccm ni wanasiasa wanafki na wazandiki wenye kutafuta fursa kulingana na upepo,Awamu ya nne ya CCM tumeishi bila furaha kuvaa sare zetu za chama, wanaccm tulibeba image mbaya sana hakika tulijisikia fedheha sana hata nguo zetu tulibeba kwenye mfuko kwenda kuvalia kwenye vyoo vya ukumbi,njiani hatukuweza kuvaa sare za CCM maana tulizomewa,watu wamesahau hili,

Awamu ya tano ya Hayati Rais Magufuli tulipiga vifua vyetu mbele za watu nakukitukuza chama chetu cha CCM,Awamu ya tano CCM iliongea lugha moja na kila mwananchi wa Tanzania kasoro mafisadi na kwa hakika mafisadi yalijificha yakawa yanachat kupitia akaunti ya kigogo,Awamu ya tano ya Rais John Pombe Magufuli ilikuwa ni fahari kua mwanaCCM tena kila mmoja alitamani kugombea nayeye awe sehemu ya serikari ya CCM ya Awamu ya tano, leo tunatafuta umaarufu kwa kumchafua huyuhuyu aliyetufanya wanaCCM tujipige pige vifua na kuvaa sare zetu mtaani na tukaheshimiwa na watoto,vijana hadi wazee.

Niseme wazi bila ujasiri wa hayati John Pombe Magufuli nchi hii isingekuwa hapa kwa maana ujasiri wake uliwatisha hata wapigaji, kuhusu suala la corona ujasiri wake ndo unawafanya Watanzania leo watembee kifua mbele hata barakoa watu hawana time nazo Shahidi Tundu Lissu aliyezunguka kufanya kampeni Tanzania nzima bila barakoa na hata sasa Chadema akiwemo kigogo wanazurura bila barakoa wakitumia falsafa ya Daktari John Pombe Magufuli,Ujasiri wa Daktari John Pombe Magufuli unafanya watu sasa wanachakula na uchumi mifukoni,kila anayembeza huku anakula hazina ya juhudi za John Pombe Magufuli tunamuomba Mwenyezi Mungu azichukue hazina hizo zote na neema walizopata kupitia uwepo wa Daktari John Pombe Magufuli kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Rais John Pombe Magufuli alifanya vitu vingi kwa research na sio kwa hisia ndio maana watu watamchafua lakini aliyoyafanya yatasimama hata upepo na dhoruba zipite his legacy shall stand the test of time,huu ni muda wa waliopewa madaraka kuwa makini sana na legacy ya JMP ambayo itaishi kwa muda mrefu ujao,kwa wanaopinga kuwa JPM sio mzalendo wa nchi hii wanastahili huruma ya mungu...

Serikali ya CCM ya awamu ya nne,iliyoongozwa na Rais Jakaya Kikwete iliweka legacy ya ujenzi wa barabara kwa mkono wa Daktari John Pombe Magufuli hakika jasho la John Pombe Magufuli limemwagika kwenye ardhi yote ya Tanzania na kuikomboa Tanzania,Mungu awapige makofi wote wanaotafuta fursa na upigaji kwa kumsema vibaya Hayati Rais John Pombe Magufuli hasa waCCM.Mungu amlaze salam JPM hakika hata kama wahuni wakishindwa kumheshimu kisa hayupo,familia yake iliyojitokeza kwenye msafara wa mazishi yake itamheshimu.

Uchaguzi wa 2020, wagombea wengi wameshinda ubunge kwa kutaja tu jina la John Pombe Magufuli maana akitaja jina lake bado waliona hawashindi...
#suala la ripoti ya CAG kama huna uwezo binafsi wa kuchambua mambo kwa kauli ile ya za kuambiwa changanya na za kwako,basi unaweza kubebwa na mkumbo wa mafisadi wasiompenda Hayati Magufuli. I real appreciate the sacrifice of our father John Pombe Magufuli hata awekwe kwenye noti akumbukwe na vizazi vingine maana legacy is worth living.

"Wapo watu duniani hata ukiwabeba mgongoni ukawavusha mto,wakifika ng'ambo watasema limgongo lake linanuka, tuwaombee tu"-Rais Magufuli 02/04/2018

#MimiSioniUbayaWaMagufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Kusema wana CCM walitembea vifua mbele ni kweli kabisa, lakini unatakiwa uwe muwazi zaidi kwa kusema waliweza kutembea kifua mbele kwasababu walikuwa na mtu anayewalinda kibabe na anayewakingia kifua kibabe lakini si kwamba walitembea kifua mbele kwasababu ya kukubalika! Hapa panaweza kuwa na mjadala

Wana CCM waliweza kufanya hivyo kwasababu ilijengwa hofu kwa wafuasi wa vyama vingine, fitina na uonevu wa wazazi

Hii unaweza kuifananisha na mtoto mtaani anayejigamba kwa wenzie na kufanya atakavyo kwa sababu anajua tu Baba yake anaogopwa mtaani mzima kwa ubabe na ukorofi. Akiguswa tu anakimbilia kushitaki kwa Baba yake. Sasa hili ni la kujisifia??
 
Hata kama amefariki lazima tuseme ili waliopo wajifunze

1. Alikuwa mtu mwenye roho mbaya, mshenzi, muuaji na aliyependa kuona watu wenye maendeleo au waliotofautiana nae wakiteseka sana. Mfano wa haya ni kwa vile walivyowafanyia Manji, Erick Kabendera, Ben saanane, Rwabaje, Mama yake Erick Kabendera, Mdude Nyangali, Zacharia na watu wengine wengi

2. Alikuwa mtu Mbinafsi sana, aliyependa sifa zote zirudi kwake. Alipenda kusifiwa, kuonekana yeye ni bora kuliko wenzake. Hata kwenye hotuba zake alipenda kujionesha ni yeye zaidi na wala sio wenzake. Rejea hotuba alizokuwa akisema bila yeye miradi haitofanikiwa. Aliwapa vyeo bila aibu watu waliokuwa wakimsifu yeye binafsi. Mf. Katambi, Sabaya, kafulila, Mrema, Babu

3. Alikuwa mkabila na mbaguzi wa kikanda aliyetukuka. Kwenye awamu yake alijaza watu wa kanda ya ziwa hasa wasukuma na mapandikizi wenzake kutoka Rwanda na Burundi kwenye nafasi nyeti serikalini. Bashiru, Kakoko, Doto James na wengineo wengi ni mifano michache tu. Hawa watu walikuwa hawagusiki na waliweza kufanya lolote lile kwa jina lake na yeye hakusema lolote. Hawa watu waliweza hata kuwadharau waziwazi Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na wala hawakujali mfumo wa utendaji serikalini. Waliweza kupiga simu au kupita moja Kwa moja ikulu hadi kwa Magufuli bila kupita kwa waziri, waziri mkuu au hata Makamu wa Rais.

4. Kwa kujua kwake kuwa ni kweli aliharibu uchumi wa nchi kwa sera zake mbaya, aliwekeza sana kwenye propaganda za kujitangaza sana kupitia vyombo vya Habari ili kuwa brainwash watu wasiofikiri vizuri. Tv zote, magazeti, blogu na hata viongozi wa dini aliwatumia kumtangaza yeye muda wote na kumsifu yeye muda wote ili aonekane ni Bora kuliko wenzake. Ofisi za Taifa zilifanywa kutengeneza data za uongo ili aonekane anafanya vizuri kumbe nchi ilikuwa inaenda pabaya sana. Rejea taarifa aliyotoaga kuwa ATCL inapata faida ya bil 28.

5. Aliwadharau sana wenzake. Na alifanya kila jitihada wenzake waonekane watu wasiofaa ( hasa viongozi waliopita). Aliishi nao kiunafiki akiwatumia vijana wake Kama Msiba, Sabaya , Makonda na Aly Happi kuwatukana na kuwatisha ili aharibu taswira yao kwa jamii na ajitengeneze kuwa ni Bora kuliko wao.

6. Alianzisha mambo ili kuwakomoa watu waliokuwa tofauti nae. As Kofi niwemugizi, Aidan Eyakuze, Yusuph Manji ni wachache kwenye hii list, walianza kuhojiwa uraia, wakanyang’anywa passport na kupewa kesi mbalimbali ili kukomolewa kutokana na kutofautiana nae.

7. Kwa sera zake mbovu, aliharibu kwa kiasi kikubwa uchumi hivyo kupelekea kuwepo tatizo kubwa la ajira . Ili kujiokoa na Tatizo hili Kwa kuwapumbaza watanzania wajinga alianzisha utaratibu wa kujifanya kuwa karibu na Mama lishe na bodaboda huku akisema kuwa wanaruhusiwa kufanya Biashara popote pale. Alifanya hili Kwa sababu alijua kabisa kuwa ameharibu uchumi wa Tanzania na amesababisha watu wengi kukosa ajira. Kuepuka lawama akataka kuifanya nchi nzima kuwa nchi ya wachuuzi huku akiharibu mipango miji na kusababisha walipa kodi wapungue kwa kasi.

8. Kutokana na kuwa na sera mbovu za kiuchumi huku akiiba Mali za watanzania Kwa kigezo cha uzalendo, akiogopa kupinduliwa na jeshi na wasaidizi wake, aliamua kufuatilia maongezi ya wasaidizi wake wote akiwemo Makamu wa Raisi , Mawaziri na viongozi wa Ccm. Alikuwa hadi meseji zao anasoma na alivyo mshamba alikiri hadharani kuwa anafuatilia mawasiliano ya watu. Alianzisha pia utaratibu wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kuwa nae popote pale anapokuwepo. Huu utaratibu ulikuja kuonekana katika awamu ya 5 tu maana Kwa awamu ya 1 hadi ya 4 haikuwai kutokea wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na spika na Jaji mkuu kuambatana na Rais popote pale anapokuwa.

9. Alikuwa muuaji
Niliwai bishia watu wengi kwenye hili ila nilikuja kuthibitisha alipokuja tamka hadharani kuwa huwezi kuwa msaliti alafu uka survive na baada ya hotuba yake iyo Tundu Lissu alikuja kushambuliwa kwa Risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini wake.

10. Alijiona ni Bora kuliko mtu yeyote yule na alitaka neno lake ndo liwe mwisho. Alisema hadharani kuwa hashauriki na kila mtu aliyekuwa akimshauri alimchukulia kama adui yake. Siku za mwisho za uhai wake alitofautiana na kupingana Hadi na viongozi wa dini wa kanisa katoliki ambao waliamua kushauri nchi kuchukua hatua tofauti dhidi ya corona.

Mungu fundi sana! Alale anapostahili mwendazake.

Very touching,,shukran sana
 
DR JOHN POMBE MAGUFULI,ONE OF THE BEST TO EVER DO IT,A TRUE LEGEND.

Leo 23:15hrs 09/04/2021

Wote wanaomsema vibaya na kupuuza fikra za Rais wa awamu ya tano,Dr John Pombe Magufuli juu ya miradi aliyoanzisha Hayati Rais John Pombe Magufuli hasa wanaccm ni wanasiasa wanafki na wazandiki wenye kutafuta fursa kulingana na upepo,Awamu ya nne ya CCM tumeishi bila furaha kuvaa sare zetu za chama, wanaccm tulibeba image mbaya sana hakika tulijisikia fedheha sana hata nguo zetu tulibeba kwenye mfuko kwenda kuvalia kwenye vyoo vya ukumbi,njiani hatukuweza kuvaa sare za CCM maana tulizomewa,watu wamesahau hili,

Awamu ya tano ya Hayati Rais Magufuli tulipiga vifua vyetu mbele za watu nakukitukuza chama chetu cha CCM,Awamu ya tano CCM iliongea lugha moja na kila mwananchi wa Tanzania kasoro mafisadi na kwa hakika mafisadi yalijificha yakawa yanachat kupitia akaunti ya kigogo,Awamu ya tano ya Rais John Pombe Magufuli ilikuwa ni fahari kua mwanaCCM tena kila mmoja alitamani kugombea nayeye awe sehemu ya serikari ya CCM ya Awamu ya tano, leo tunatafuta umaarufu kwa kumchafua huyuhuyu aliyetufanya wanaCCM tujipige pige vifua na kuvaa sare zetu mtaani na tukaheshimiwa na watoto,vijana hadi wazee.

Niseme wazi bila ujasiri wa hayati John Pombe Magufuli nchi hii isingekuwa hapa kwa maana ujasiri wake uliwatisha hata wapigaji, kuhusu suala la corona ujasiri wake ndo unawafanya Watanzania leo watembee kifua mbele hata barakoa watu hawana time nazo Shahidi Tundu Lissu aliyezunguka kufanya kampeni Tanzania nzima bila barakoa na hata sasa Chadema akiwemo kigogo wanazurura bila barakoa wakitumia falsafa ya Daktari John Pombe Magufuli,Ujasiri wa Daktari John Pombe Magufuli unafanya watu sasa wanachakula na uchumi mifukoni,kila anayembeza huku anakula hazina ya juhudi za John Pombe Magufuli tunamuomba Mwenyezi Mungu azichukue hazina hizo zote na neema walizopata kupitia uwepo wa Daktari John Pombe Magufuli kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Rais John Pombe Magufuli alifanya vitu vingi kwa research na sio kwa hisia ndio maana watu watamchafua lakini aliyoyafanya yatasimama hata upepo na dhoruba zipite his legacy shall stand the test of time,huu ni muda wa waliopewa madaraka kuwa makini sana na legacy ya JMP ambayo itaishi kwa muda mrefu ujao,kwa wanaopinga kuwa JPM sio mzalendo wa nchi hii wanastahili huruma ya mungu...

Serikali ya CCM ya awamu ya nne,iliyoongozwa na Rais Jakaya Kikwete iliweka legacy ya ujenzi wa barabara kwa mkono wa Daktari John Pombe Magufuli hakika jasho la John Pombe Magufuli limemwagika kwenye ardhi yote ya Tanzania na kuikomboa Tanzania,Mungu awapige makofi wote wanaotafuta fursa na upigaji kwa kumsema vibaya Hayati Rais John Pombe Magufuli hasa waCCM.Mungu amlaze salam JPM hakika hata kama wahuni wakishindwa kumheshimu kisa hayupo,familia yake iliyojitokeza kwenye msafara wa mazishi yake itamheshimu.

Uchaguzi wa 2020, wagombea wengi wameshinda ubunge kwa kutaja tu jina la John Pombe Magufuli maana akitaja jina lake bado waliona hawashindi...
#suala la ripoti ya CAG kama huna uwezo binafsi wa kuchambua mambo kwa kauli ile ya za kuambiwa changanya na za kwako,basi unaweza kubebwa na mkumbo wa mafisadi wasiompenda Hayati Magufuli. I real appreciate the sacrifice of our father John Pombe Magufuli hata awekwe kwenye noti akumbukwe na vizazi vingine maana legacy is worth living.

"Wapo watu duniani hata ukiwabeba mgongoni ukawavusha mto,wakifika ng'ambo watasema limgongo lake linanuka, tuwaombee tu"-Rais Magufuli 02/04/2018

#MimiSioniUbayaWaMagufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
Legend wapi bana, Legend anaogopa mawazo pinzani, Legend anaogopa vyombo vya habari, Legand anaziba mdomo hata CAG, Legend anataka kuimbiwa mapambio, Legend anakufa kiboya na Corona ahhha tutake radhi huyo ni Legend wenu wa chato na MATAGA.
 
Legend wapi bana, Legend anaogopa mawazo pinzani, Legend anaogopa vyombo vya habari, Legand anaziba mdomo hata CAG, Legend anataka kuimbiwa mapambio, Legend anakufa kiboya na Corona ahhha tutake radhi huyo ni Legend wenu wa chato na MATAGA.

Kuna wimbo flan wa kishamba Sana MATAGA walikuwa wanamuimbia af akawa mwenyewe anaenjooooy...

ETI JOONI KIBOKOOOOO,JONI POMBE KIBOKO YAOOOO,JONII KIBOKOOO JONI POMBE KIBOKO YAOOOO,yaani ushamba ushamba tuh,sasa KIBOKO yake nin??
 
Kumchafua JPM ni kupoteza muda, Alama alizo acha katika kulipigania Taifa Zinaongea zenyewe vizazi kwa vizazi vitaona na ku enzi alichopigania.
Kitu alichoacha ambacho vizazi na vizazi vitaona ni nini?? Bwawa la umeme na reli??

Wakoloni wenyewe waliacha reli, shule na viwanda vya kutosha, lakini hadi kesho tunawachukia.
 
Kama kiingereza andika kiingereza wacha mikwara nduguu!! Ninyi ndowale mmesomea propaganda eeh!!! Mjibu CAG wacha makelele kumkosoa MTU sio kumsema vibaya usiwe na mawazo mgando na hoja hujibiwa kwa hoja
Kwanza huyo anayemtetea alikuwa hataki kuongea kiingereza, sasa sijui huyu yeaahh yeaaaah nini😃
 
Kwanza huyo anayemtetea alikuwa hataki kuongea kiingereza, sasa sijui huyu yeaahh yeaaaah nini😃
Amechukua maneno anayoona wanamwandikia DMX naye anampachika jiwe,sasa anau "legend" gani kwamfano??
Mradi usifusifu tuu!!
 
Magufuli alikua mchafu mpaka mwili yaani mzinzi na ndoa yake tu ilimshinda. Vimada kila kona. Mwizi kuanzia nyumba za serikali hadi mv Bagamoyo halafu as president miradi ya hivyoo eti daraja la Coco beach
Unaemtetea mtu alikua na UKIMWI tena wa mwili na akili??! Mkaombewe wajinga nyie. Bado madudu yake yanakuja. 1.5 trillion hatusahau. Timu MATAGA JINGA SANA
 
Back
Top Bottom