Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Mkuu

Inamaana serikali ya malaika nayo ilikuwa inskosea????
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
madudu gani tena wakati mlisema aongezewe muda mtetezi wa wanyonge
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Zote zina madhaifu yake, lkn huu wake ulijaaa kusifiwa,kujikweza na kutukuzwa kama yeye ni malaika kama unavyokataa Sasa kumuita. Aliitwa mtukutu na malaika aliyeshusha Sasa leo kazi zake zina dosari kubwa sana. Jiulize kwanini mama Samia hajataka kuficha hili?? Kuna ujumbe anautoa Kwetu na pia jiulize angekuwepo yeye hii ripot ingesomwa kama ilivyo Sasa???
 
Lissu alisema Magufuli hakuacha chochote yaani within 5 yrs hakuna Alichofanya zaidi ya kuua na kuminya vyombo vya habari , leo katika maneno yake anasema Legacy ya Magufuli imeanza kusambaratika, kwahiyo amekubali Magufuli ameacha legacy kubwa nchini, sio kazi ya Magufuli kuilinda legacy hiyo ni sisi tuliobaki, shirika likifa ni viongozi waliopo kuwajibika, halafu kwa nini watanzania mnaombea makampuni yaliyo fufuliwa yafe? kwa nini msitoe mapendekezo ya nini kifanyike tupate faida? yaani wasomi wote tulionao hatuwezi kusimamia shirika? yaani hata tundu lissu hawezi? basi tuna wasomi hewa.
 
Jibuni hoja kwa hoja.

Kwa mfano, sema ATCL na TPA hakuna uozo uliolelewa kipindi cha Magufuli.

Issue ni uozo wa Magufuli. Tundu Lissu alishakubali kwamba kashindwa urais na hajatangaza kugombea tena, kwa hiyo, hiyo si hoja.
Alikubali lini kuwa kashindwa urais? Kila siku anadai alishinda.

Washirika wake mpaka wakapeleka malalamiko yao huko Uholanzi kuwa wameibiwa kura!
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Na nyie mlizidi kumsifia marehemu! Alipoingia madarakani aliwakosoa sana watangulizi wake, alidhani wao walikuwa malaika!?
 
Zote zina madhaifu yake, lkn huu wake ulijaaa kusifiwa,kujikweza na kutukuzwa kama yeye ni malaika kama unavyokataa Sasa kumuita. Aliitwa mtukutu na malaika aliyeshusha Sasa leo kazi zake zina dosari kubwa sana. Jiulize kwanini mama Samia hajataka kuficha hili?? Kuna ujumbe anautoa Kwetu na pia jiulize angekuwepo yeye hii ripot ingesomwa kama ilivyo Sasa???
Kwa hiyo alivyoitwa malaika na wewe ukaamini kweli alikuwa malaika? nyie watu bado sana na huyo Lissu wenu.
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Magu alikuwa anaficha nini? Mbonaasiache uhuru wa vyombo vya habari na upinzani usaidie kuibua maovu?
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.

Mkapa mbona juzi hapo!! Madudu toka nyerere mtu ana haribu hapa anawekwa pale
 
Back
Top Bottom