guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
kumbe magufuli alikuwa fisadi
MkuuLissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Anarudi vpi wakat yeye ndo kigogoLisu ana hasira sana!
Mwambieni arudi maana mbaya wake kaondoka
Jibuni hoja kwa hoja.That’s why he will never ever be president.
Too infantile.
madudu gani tena wakati mlisema aongezewe muda mtetezi wa wanyongeLissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Zote zina madhaifu yake, lkn huu wake ulijaaa kusifiwa,kujikweza na kutukuzwa kama yeye ni malaika kama unavyokataa Sasa kumuita. Aliitwa mtukutu na malaika aliyeshusha Sasa leo kazi zake zina dosari kubwa sana. Jiulize kwanini mama Samia hajataka kuficha hili?? Kuna ujumbe anautoa Kwetu na pia jiulize angekuwepo yeye hii ripot ingesomwa kama ilivyo Sasa???Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Itawachukua wote mliompiga risasi mpaka muisheHivi huyu shetani Tundulisu bado yupo tu...nilifikiri COVID 19 ilishamchukua.... shoga mkubwa wewe
Wapi kasema anadhani Magufuli alikuwa malaika?
Hebu jisomeni muone kama mtajielewa! naona mmoja anakubali mwingine anakataa, sasa nimuamini yupi kati yenu?Mkuu
Inamaana serikali ya malaika nayo ilikuwa inskosea????
Alikubali lini kuwa kashindwa urais? Kila siku anadai alishinda.Jibuni hoja kwa hoja.
Kwa mfano, sema ATCL na TPA hakuna uozo uliolelewa kipindi cha Magufuli.
Issue ni uozo wa Magufuli. Tundu Lissu alishakubali kwamba kashindwa urais na hajatangaza kugombea tena, kwa hiyo, hiyo si hoja.
Na nyie mlizidi kumsifia marehemu! Alipoingia madarakani aliwakosoa sana watangulizi wake, alidhani wao walikuwa malaika!?Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Kwa hiyo alivyoitwa malaika na wewe ukaamini kweli alikuwa malaika? nyie watu bado sana na huyo Lissu wenu.Zote zina madhaifu yake, lkn huu wake ulijaaa kusifiwa,kujikweza na kutukuzwa kama yeye ni malaika kama unavyokataa Sasa kumuita. Aliitwa mtukutu na malaika aliyeshusha Sasa leo kazi zake zina dosari kubwa sana. Jiulize kwanini mama Samia hajataka kuficha hili?? Kuna ujumbe anautoa Kwetu na pia jiulize angekuwepo yeye hii ripot ingesomwa kama ilivyo Sasa???
Magu alikuwa anaficha nini? Mbonaasiache uhuru wa vyombo vya habari na upinzani usaidie kuibua maovu?Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Ndio Magufuli alikuwa Malaika ,Tena mkuu wa malaika,asiyetaka kukosolewa!Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Hunifahamu, leo ndio nasimama kwa ajili ya marehemu, sikuwahi kumtetea mwanzo nilikuwa na Lissu, mpaka nilivyogundua Lissu ana tatizo la ubongo ndio nimemuacha akatibiwe kwanza.Na nyie mlizidi kumsifia marehemu! Alipoingia madarakani aliwakosoa sana watangulizi wake, alidhani wao walikuwa malaika!?