Jicho la mwewe: ATCL saga

Bujibuji,

..ili tupate faida ktk biashara ya usafiri wa anga inabidi tuwekeza mapesa mengi sana kwa muda mrefu.

..faida ya mashirika ya ndege huwa ni ndogo sana, na siyo ya uhakika. Mfano mdogo ni jinsi mashirika mengin ya ndege yalivyoyumba kutokana na janga la corona.

..mpaka sasa hivi tumeshawekeza shilingi za kitanzania trillion 2. Hiyo ni kwa ndege ambazo tayari zimeshafika nchini.

..Binafsi nadhani haikuwa busara kujiingiza ktk mradi huu.

..Natofautiana na wewe ulipotolea mfano wa "huduma" ya mikopo ya elimu ya juu, huduma / biashara ya shirika la umeme...

..Natofautiana na wewe kwasababu usafiri wa ndege, kwa mazingira ya Tz, tungeweza kuyaachia makampuni binafsi, lakini mikopo ya elimu ya juu, na shirika la umeme siyo rahisi kuyaachia makampuni binafsi.

..Trillion 2 zilizotumika kununua ndege zingeelekezwa ktk sekta, au miradi, inayotoa faida ndani ya muda mfupi, na inayogusa wananchi wengi ukilinganisha na shirika la ndege.

NB:

..Nina akili timamu na ninapinga serikali yetu kununua ndege.
Zote kabisa!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mtoa hoja amekereka sana na riport ya CAG. Angetanani sana CAG abakie kimya ama aseme ni shirika lisilo na hasara wala faida yaani lipo kati aka uchumi wa kati.

Watanzania hatujazoea ustahamilivu wa kivisikia vitu tusivyovitaka!!
 
Sawa mzee umeandika sana ila nina asali moja

Kati ya maandishi yako na CAG nani anajua kuwa ile si hasara bali ni huduma?

Ina maana Qatar Airlines na mashirika mengine huwa yapo tayari kuwa na moyo wa mshumaa kwa jamii kuliko nafsi yake.?

Usitake kuniaminisha kuwa ile ripoti wataalam wamempotosha CAG kutofautisha hasara, faida na huduma kwa miaka hii mitano na miaka ile waliyoiita ya mwenda waz
 
Wengi wameanza kudai kuwa Serikali imekosea sana kununua ndege maana ni vitu vya hovyo na vyenye kuleta hasara tu kwenye nchi.

Kabla sijaenda mbali, ngoja niulize vijiswali..

1. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kwenye mikopo ya elimu ya juu na kuchelewa kupata return, Je ni hasara au faida? Mbona wapinzani hamjazisemea?

2. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kama ruzuku ya vyama vya siasa, ni hasara au faida kwa nchi?

3. Hivi fedha zote Serikali inazozotoa kuchapisha vitambulisho vya taifa na vipalata vya mpiga kura na kuvigawa bure bila malipo, ni hasara au faida kwa nchi?

4. Hivi mnajua kuwa treni ya abiria, Huduma za umeme, maji, tiba ( hospital) huendeshwa bila ya Serikali kupata faida yoyote? Je ni hasara au faida kwa Nchi?

Ndugu zanguni watanzania wapenzi, siku zote Serikali huwa aifanyi biashara Bali inatoa Huduma. Hela kidogo tunazozitoa kama malipo ni kama kusaidia uendeshaji na ujenzi wa nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Serikali ina mipango ya aina 3 :

1. Mipango ya muda mfupi

2. Mipango ya muda wa kati.

3. Mipango ya muda mrefu.

Pia kwa sisi tuliyopitia elimu kidogo ya miradi na uwekezaji, tunajua kuwa :

- Kuna uwekezaji wa muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu..

- Kuna miradi ya muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu.

Shirika letu la ndege " ATCL" kama mashirika mengine ya ndege duniani hutoa Huduma na pia kwa taifa ni uwekezaji au mradi wenye kuleta faida kwa muda mrefu ( Long term).

Huwezi kununua NDEGE Leo, alafu kesho ukategemea kuvuna pesa eti faida.

ATCL kupata hasara sio jambo la Ajabu kabisa, Kwa muda huu wa miaka 5-7 tusitegemee itatengeneza faida maana ile ni Project ya Long term na sio short term kama kununua unga wa ngano na kuuza maandazi barabarani.

Kwa miaka hii mitatu hathari za corona zitakuwa ni mwiba kwa biashara za Airlines na hata Shirika letu la ATCL litasurvive kidogo na kwakua lina soko zuri la ndani.

Kwa miaka hii mitano mashirika karibia yote ya ndege makubwa Emirates airlines, Ethiopia Airlines, Kenya Airways, American airlines, south afrika Airlines, British Airlines yote yametengeneza hasara kwa sababu ya Madhara ya muda mrefu ya Covid 19.

Ni mjinga Pekee au mtu asiye na uelewa wakutosha kwenye swala la Airlines na mtu mwenye chuki binafsi ambaye ataizodoa serikali kuhusu hasara ya ATCL.

Kwa watu wazoefu wa mambo ya Airlines...

Hii ni hasara ndogo sana kwenye airline industry.

Industries zote za airlines zilikua very Fragile hasa kwenye kipindi hichi cha Corona..

Mashirika yote duniani yame record hasara kubwa zaidi kuliko ATCL kipindi hiki cha covid 19.

Ukizisoma Hesabu zilizokaguliaa za Precision Air kwa zaidi ya miaka 10 haijawahi kuwa na Positive Cash flowing wala kuwa na devidened kwa shareholders wake.

biashara ya ndege ni complex kidogo

The way corporate loses are calculated sio kwamba lazma hawakutengeneza faida.

Iko hivi : kama Air tanzania kwa mwaka 2020/21 kulingana na ndege ziliviozunguka walitarajia kupata 30 billion against operation cost of 5 billion, wakaja wakapata 20 billion, accounts report mwisho wa mwaka itasoma wamepata 10 bilion loss but in essence walipata 15 bilioni profit but because they didnt reach the target itasoma loss.

• TUWARUDISHE DARASANI KIDOGO

- HASARA KATIKA UENDESHAJI WA NDEGE.

Kwa Mujibu wa Ripoti ya IATA Bara la Afrika Limepoteza Kiasi Cha $ Bilion 8 Katika Soko la BIASHARA ya Ndege Kwa Mwaka 2020.

Uendeshaji wa Ndege sio sawa na Gari, Ndege inategemea sana Soko la Abiria na Soko la Mizigo Kutoka Sehemu MBALIMBALI

Katika Shirika Lolote la Ndege Linategemea Vyanzo MBALIMBALI vya Mapato :

- Upatikanaji wa Abiria.

- Upatikanaji wa Mizigo ya Kutosha.

- Muunganiko wa BIASHARA Baina ya Shirika na Shirika au Nchi na Nchi (Airlines Code share Agreement).

- Vyuo vya Mafunzo vya Shirika(Mfano Air Tanzania Training Center).

-Ruzuku toka Serikali Kuu(Subsidiary)

• FAIDA ZA MOJA KWA MOJA za Shirika Lolote la Ndege(Direct Benefits) :

- Upatikanaji wa Mapato MBALIMBALI kwa Wakati na Kujiendesha.

• FAIDA ZISIZO ZA MOJA KWA MOJA yaani Indirect Benefits) :

- Ku Boost National Development and Economy.

- Ku Boost Tourism Trade.

- Ku facilitate Passenger and Cargo Transportation.

- Kupunguza Gharama za Usafiri wa anga Hasa Kwenye Domestic and International Trade.

Kwa Shirika Letu la Air TANZANIA Lenye Idadi ya Ndege tisa "9" ikiwemo Ndege 6 Mpya(Boeing 787-8 Moja,Dash 8 400 Bombardier Tatu na Airbus A220-300 Mbili zenye Jumla ya Thamani ya USD 488.6 Million na Life span ya Miaka 27-30).

Tusitegemee Faida ya Haraka Hasa Kutokana na Janga la corona Kwa Sababu Mashirika Mengi Makubwa yamepata HASARA Kubwa Kutokana na ukosefu wa Abiria na Mizigo na Kufungwa kwa Nchi MBALIMBALI Kutokana na Janga Hili na kumbuka Kama Shirika(Air Tanzania) lilikuwa na Mikakati Mikubwa ya Safari za kwenda Mashariki ya Mbali Hasa Guenzhou China,Bombay India na Nchi MBALIMBALI ikiwemo London Uingereza...

Kutokana na Majanga Haya Automatic Lazima Mapato yashuke kwa Kiwango Kikubwa Hasa na Hali Halisi ya Soko na Uendeshaji wa Vyombo Hivi vya Usafiri Hasa Malipo ya wafanyakazi,Ukarabati wa Vyombo,Malipo ya parking ya Viwanja vya Ndege,Malipo ya anga na Tozo MBALIMBALI za aviation Industry.

Nenda Kenya Airways,Egpty Air,South African Airways,Ethiopia Airlines ...Kote Huko Utakuta Hasara kubwa Katika Uendeshaji..

Ni muhimu sana tuwe tunafuatilia taarifa, wakati ATCL yetu (shirika linalofufuliwa) likitajwa kupata hasara ya shilingi Bilioni 60 kwa mwaka mmoja, na baadhi ya watu kuifanya kuwa ajenda kubwa na jambo la kushangaza sana, nataka mfuatilie pia hasara za baadhi ya mashirika makongwe na makubwa zaidi barani Afrika.

- Mathalani, Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 700 (mara 11 ya hasara ya ATCL) katika kipindi hicho hicho ambacho ATCL imepata hasara ya tzs Bilioni 60.

- Na shirika la ndege kongwe zaidi Afrika, Ethiopian Airlines, limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Tzs Trilioni 1.1 (Bilioni 1,100) ambayo ni hasara kubwa mara 18.3 zaidi kuliko ATCL.

Sote hatufurahii hasara hata kama sisi tuna hasara ya Bilioni 60, lakini kwa sababu mbili tu za sasa... uchanga wa ATCL na dunia kuzongwa na KORONA zinaweza kuifanya ATCL ijikongoje, wakati mashirika makubwa kama KE Airlines na ETH Airlines yakizongwa pia na korona.

Pia kwa mwaka jana peke yake, mashirika makubwa zaidi ya ndege duniani, kama – Delta Air Lines, American Airlines, Lufthansa Group, United Airlines, Air France-KLM, na IAG yamerekodi hasara kubwa kabisa kihistoria ya zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 110 ambayo ni zaidi ya shilingi trilioni 2,500 za Tanzania.

Mwisho wa siku na katikati ya changamoto hizi, tunakubaliana kuwa ATCL inahitaji mikakati na mbinu za hali ya juu kibiashara ili itoke hapo ilipo, ikiwemo kuacha kabisa kufanya kazi kwa mazoea.

Tuache kuingiza siasa kwenye sensitive issues.

Ahsanteni sana !!!


Apa nimekuelewa Bujibuji
 
Wengi wameanza kudai kuwa Serikali imekosea sana kununua ndege maana ni vitu vya hovyo na vyenye kuleta hasara tu kwenye nchi.

Kabla sijaenda mbali, ngoja niulize vijiswali..

1. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kwenye mikopo ya elimu ya juu na kuchelewa kupata return, Je ni hasara au faida? Mbona wapinzani hamjazisemea?

2. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kama ruzuku ya vyama vya siasa, ni hasara au faida kwa nchi?

3. Hivi fedha zote Serikali inazozotoa kuchapisha vitambulisho vya taifa na vipalata vya mpiga kura na kuvigawa bure bila malipo, ni hasara au faida kwa nchi?

4. Hivi mnajua kuwa treni ya abiria, Huduma za umeme, maji, tiba ( hospital) huendeshwa bila ya Serikali kupata faida yoyote? Je ni hasara au faida kwa Nchi?

Ndugu zanguni watanzania wapenzi, siku zote Serikali huwa aifanyi biashara Bali inatoa Huduma. Hela kidogo tunazozitoa kama malipo ni kama kusaidia uendeshaji na ujenzi wa nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Serikali ina mipango ya aina 3 :

1. Mipango ya muda mfupi

2. Mipango ya muda wa kati.

3. Mipango ya muda mrefu.

Pia kwa sisi tuliyopitia elimu kidogo ya miradi na uwekezaji, tunajua kuwa :

- Kuna uwekezaji wa muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu..

- Kuna miradi ya muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu.

Shirika letu la ndege " ATCL" kama mashirika mengine ya ndege duniani hutoa Huduma na pia kwa taifa ni uwekezaji au mradi wenye kuleta faida kwa muda mrefu ( Long term).

Huwezi kununua NDEGE Leo, alafu kesho ukategemea kuvuna pesa eti faida.

ATCL kupata hasara sio jambo la Ajabu kabisa, Kwa muda huu wa miaka 5-7 tusitegemee itatengeneza faida maana ile ni Project ya Long term na sio short term kama kununua unga wa ngano na kuuza maandazi barabarani.

Kwa miaka hii mitatu hathari za corona zitakuwa ni mwiba kwa biashara za Airlines na hata Shirika letu la ATCL litasurvive kidogo na kwakua lina soko zuri la ndani.

Kwa miaka hii mitano mashirika karibia yote ya ndege makubwa Emirates airlines, Ethiopia Airlines, Kenya Airways, American airlines, south afrika Airlines, British Airlines yote yametengeneza hasara kwa sababu ya Madhara ya muda mrefu ya Covid 19.

Ni mjinga Pekee au mtu asiye na uelewa wakutosha kwenye swala la Airlines na mtu mwenye chuki binafsi ambaye ataizodoa serikali kuhusu hasara ya ATCL.

Kwa watu wazoefu wa mambo ya Airlines...

Hii ni hasara ndogo sana kwenye airline industry.

Industries zote za airlines zilikua very Fragile hasa kwenye kipindi hichi cha Corona..

Mashirika yote duniani yame record hasara kubwa zaidi kuliko ATCL kipindi hiki cha covid 19.

Ukizisoma Hesabu zilizokaguliaa za Precision Air kwa zaidi ya miaka 10 haijawahi kuwa na Positive Cash flowing wala kuwa na devidened kwa shareholders wake.

biashara ya ndege ni complex kidogo

The way corporate loses are calculated sio kwamba lazma hawakutengeneza faida.

Iko hivi : kama Air tanzania kwa mwaka 2020/21 kulingana na ndege ziliviozunguka walitarajia kupata 30 billion against operation cost of 5 billion, wakaja wakapata 20 billion, accounts report mwisho wa mwaka itasoma wamepata 10 bilion loss but in essence walipata 15 bilioni profit but because they didnt reach the target itasoma loss.

• TUWARUDISHE DARASANI KIDOGO

- HASARA KATIKA UENDESHAJI WA NDEGE.

Kwa Mujibu wa Ripoti ya IATA Bara la Afrika Limepoteza Kiasi Cha $ Bilion 8 Katika Soko la BIASHARA ya Ndege Kwa Mwaka 2020.

Uendeshaji wa Ndege sio sawa na Gari, Ndege inategemea sana Soko la Abiria na Soko la Mizigo Kutoka Sehemu MBALIMBALI

Katika Shirika Lolote la Ndege Linategemea Vyanzo MBALIMBALI vya Mapato :

- Upatikanaji wa Abiria.

- Upatikanaji wa Mizigo ya Kutosha.

- Muunganiko wa BIASHARA Baina ya Shirika na Shirika au Nchi na Nchi (Airlines Code share Agreement).

- Vyuo vya Mafunzo vya Shirika(Mfano Air Tanzania Training Center).

-Ruzuku toka Serikali Kuu(Subsidiary)

• FAIDA ZA MOJA KWA MOJA za Shirika Lolote la Ndege(Direct Benefits) :

- Upatikanaji wa Mapato MBALIMBALI kwa Wakati na Kujiendesha.

• FAIDA ZISIZO ZA MOJA KWA MOJA yaani Indirect Benefits) :

- Ku Boost National Development and Economy.

- Ku Boost Tourism Trade.

- Ku facilitate Passenger and Cargo Transportation.

- Kupunguza Gharama za Usafiri wa anga Hasa Kwenye Domestic and International Trade.

Kwa Shirika Letu la Air TANZANIA Lenye Idadi ya Ndege tisa "9" ikiwemo Ndege 6 Mpya(Boeing 787-8 Moja,Dash 8 400 Bombardier Tatu na Airbus A220-300 Mbili zenye Jumla ya Thamani ya USD 488.6 Million na Life span ya Miaka 27-30).

Tusitegemee Faida ya Haraka Hasa Kutokana na Janga la corona Kwa Sababu Mashirika Mengi Makubwa yamepata HASARA Kubwa Kutokana na ukosefu wa Abiria na Mizigo na Kufungwa kwa Nchi MBALIMBALI Kutokana na Janga Hili na kumbuka Kama Shirika(Air Tanzania) lilikuwa na Mikakati Mikubwa ya Safari za kwenda Mashariki ya Mbali Hasa Guenzhou China,Bombay India na Nchi MBALIMBALI ikiwemo London Uingereza...

Kutokana na Majanga Haya Automatic Lazima Mapato yashuke kwa Kiwango Kikubwa Hasa na Hali Halisi ya Soko na Uendeshaji wa Vyombo Hivi vya Usafiri Hasa Malipo ya wafanyakazi,Ukarabati wa Vyombo,Malipo ya parking ya Viwanja vya Ndege,Malipo ya anga na Tozo MBALIMBALI za aviation Industry.

Nenda Kenya Airways,Egpty Air,South African Airways,Ethiopia Airlines ...Kote Huko Utakuta Hasara kubwa Katika Uendeshaji..

Ni muhimu sana tuwe tunafuatilia taarifa, wakati ATCL yetu (shirika linalofufuliwa) likitajwa kupata hasara ya shilingi Bilioni 60 kwa mwaka mmoja, na baadhi ya watu kuifanya kuwa ajenda kubwa na jambo la kushangaza sana, nataka mfuatilie pia hasara za baadhi ya mashirika makongwe na makubwa zaidi barani Afrika.

- Mathalani, Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 700 (mara 11 ya hasara ya ATCL) katika kipindi hicho hicho ambacho ATCL imepata hasara ya tzs Bilioni 60.

- Na shirika la ndege kongwe zaidi Afrika, Ethiopian Airlines, limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Tzs Trilioni 1.1 (Bilioni 1,100) ambayo ni hasara kubwa mara 18.3 zaidi kuliko ATCL.

Sote hatufurahii hasara hata kama sisi tuna hasara ya Bilioni 60, lakini kwa sababu mbili tu za sasa... uchanga wa ATCL na dunia kuzongwa na KORONA zinaweza kuifanya ATCL ijikongoje, wakati mashirika makubwa kama KE Airlines na ETH Airlines yakizongwa pia na korona.

Pia kwa mwaka jana peke yake, mashirika makubwa zaidi ya ndege duniani, kama – Delta Air Lines, American Airlines, Lufthansa Group, United Airlines, Air France-KLM, na IAG yamerekodi hasara kubwa kabisa kihistoria ya zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 110 ambayo ni zaidi ya shilingi trilioni 2,500 za Tanzania.

Mwisho wa siku na katikati ya changamoto hizi, tunakubaliana kuwa ATCL inahitaji mikakati na mbinu za hali ya juu kibiashara ili itoke hapo ilipo, ikiwemo kuacha kabisa kufanya kazi kwa mazoea.

Tuache kuingiza siasa kwenye sensitive issues.

Ahsanteni sana !!!


Kuna pia wanaosema Serikali ingekodisha ndege badala ya kununua kwa fedha taslimu. Mbona hapo janga ndiyo lingekuwa kubwa zaidi kwa sababu tungekuwa tunalipa riba wakati tunaingiza kiduchu. Bora sasa hata kama tunaingiza kiduchu, lakini hakuna riba.
 
Sikujua kama kuna watu ni wajinga kiasi hiki, ila sikujua kabla kama bujibuji ni mmoja wao, unawezaje kufananisha huduma ya maji inayogusa kila mtu na ndege ambazo kama hazipo yapo mashirika binafsi yatafanya hiyo kazi na serikali kuepuka hasara? I think stupidity is your talent mr bujibuji or you attended stupidity class

Kubwa zima hovyoo
 
Naona mtoa hoja amekereka sana na riport ya CAG. Angetanani sana CAG abakie kimya ama aseme ni shirika lisilo na hasara wala faida yaani lipo kati aka uchumi wa kati.

Watanzania hatujazoea ustahamilivu wa kivisikia vitu tusivyovitaka!!
Hawa wakiwa mtaani ndo hulisha watu matango poli,
 
Watu hatuwazi Wala kulaumu ununuzi wa ndege, tunachohoji mbona tulikuwa tunaambiwa shirika limepata faida na kutoa gawiwo kwa serikali lakini kumbe linaendeshwa kwa hasara kubwa, je huko kurudisha ilikuwa n mradi wakutudanganya ili watuibie kwakisingizio hicho??

Hamna awamu iliyojaaa madudu na majizi kama ya Jpm.
 
Wengi wameanza kudai kuwa Serikali imekosea sana kununua ndege maana ni vitu vya hovyo na vyenye kuleta hasara tu kwenye nchi.

Kabla sijaenda mbali, ngoja niulize vijiswali..

1. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kwenye mikopo ya elimu ya juu na kuchelewa kupata return, Je ni hasara au faida? Mbona wapinzani hamjazisemea?

2. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kama ruzuku ya vyama vya siasa, ni hasara au faida kwa nchi?

3. Hivi fedha zote Serikali inazozotoa kuchapisha vitambulisho vya taifa na vipalata vya mpiga kura na kuvigawa bure bila malipo, ni hasara au faida kwa nchi?

4. Hivi mnajua kuwa treni ya abiria, Huduma za umeme, maji, tiba ( hospital) huendeshwa bila ya Serikali kupata faida yoyote? Je ni hasara au faida kwa Nchi?

Ndugu zanguni watanzania wapenzi, siku zote Serikali huwa aifanyi biashara Bali inatoa Huduma. Hela kidogo tunazozitoa kama malipo ni kama kusaidia uendeshaji na ujenzi wa nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Serikali ina mipango ya aina 3 :

1. Mipango ya muda mfupi

2. Mipango ya muda wa kati.

3. Mipango ya muda mrefu.

Pia kwa sisi tuliyopitia elimu kidogo ya miradi na uwekezaji, tunajua kuwa :

- Kuna uwekezaji wa muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu..

- Kuna miradi ya muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu.

Shirika letu la ndege " ATCL" kama mashirika mengine ya ndege duniani hutoa Huduma na pia kwa taifa ni uwekezaji au mradi wenye kuleta faida kwa muda mrefu ( Long term).

Huwezi kununua NDEGE Leo, alafu kesho ukategemea kuvuna pesa eti faida.

ATCL kupata hasara sio jambo la Ajabu kabisa, Kwa muda huu wa miaka 5-7 tusitegemee itatengeneza faida maana ile ni Project ya Long term na sio short term kama kununua unga wa ngano na kuuza maandazi barabarani.

Kwa miaka hii mitatu hathari za corona zitakuwa ni mwiba kwa biashara za Airlines na hata Shirika letu la ATCL litasurvive kidogo na kwakua lina soko zuri la ndani.

Kwa miaka hii mitano mashirika karibia yote ya ndege makubwa Emirates airlines, Ethiopia Airlines, Kenya Airways, American airlines, south afrika Airlines, British Airlines yote yametengeneza hasara kwa sababu ya Madhara ya muda mrefu ya Covid 19.

Ni mjinga Pekee au mtu asiye na uelewa wakutosha kwenye swala la Airlines na mtu mwenye chuki binafsi ambaye ataizodoa serikali kuhusu hasara ya ATCL.

Kwa watu wazoefu wa mambo ya Airlines...

Hii ni hasara ndogo sana kwenye airline industry.

Industries zote za airlines zilikua very Fragile hasa kwenye kipindi hichi cha Corona..

Mashirika yote duniani yame record hasara kubwa zaidi kuliko ATCL kipindi hiki cha covid 19.

Ukizisoma Hesabu zilizokaguliaa za Precision Air kwa zaidi ya miaka 10 haijawahi kuwa na Positive Cash flowing wala kuwa na devidened kwa shareholders wake.

biashara ya ndege ni complex kidogo

The way corporate loses are calculated sio kwamba lazma hawakutengeneza faida.

Iko hivi : kama Air tanzania kwa mwaka 2020/21 kulingana na ndege ziliviozunguka walitarajia kupata 30 billion against operation cost of 5 billion, wakaja wakapata 20 billion, accounts report mwisho wa mwaka itasoma wamepata 10 bilion loss but in essence walipata 15 bilioni profit but because they didnt reach the target itasoma loss.

• TUWARUDISHE DARASANI KIDOGO

- HASARA KATIKA UENDESHAJI WA NDEGE.

Kwa Mujibu wa Ripoti ya IATA Bara la Afrika Limepoteza Kiasi Cha $ Bilion 8 Katika Soko la BIASHARA ya Ndege Kwa Mwaka 2020.

Uendeshaji wa Ndege sio sawa na Gari, Ndege inategemea sana Soko la Abiria na Soko la Mizigo Kutoka Sehemu MBALIMBALI

Katika Shirika Lolote la Ndege Linategemea Vyanzo MBALIMBALI vya Mapato :

- Upatikanaji wa Abiria.

- Upatikanaji wa Mizigo ya Kutosha.

- Muunganiko wa BIASHARA Baina ya Shirika na Shirika au Nchi na Nchi (Airlines Code share Agreement).

- Vyuo vya Mafunzo vya Shirika(Mfano Air Tanzania Training Center).

-Ruzuku toka Serikali Kuu(Subsidiary)

• FAIDA ZA MOJA KWA MOJA za Shirika Lolote la Ndege(Direct Benefits) :

- Upatikanaji wa Mapato MBALIMBALI kwa Wakati na Kujiendesha.

• FAIDA ZISIZO ZA MOJA KWA MOJA yaani Indirect Benefits) :

- Ku Boost National Development and Economy.

- Ku Boost Tourism Trade.

- Ku facilitate Passenger and Cargo Transportation.

- Kupunguza Gharama za Usafiri wa anga Hasa Kwenye Domestic and International Trade.

Kwa Shirika Letu la Air TANZANIA Lenye Idadi ya Ndege tisa "9" ikiwemo Ndege 6 Mpya(Boeing 787-8 Moja,Dash 8 400 Bombardier Tatu na Airbus A220-300 Mbili zenye Jumla ya Thamani ya USD 488.6 Million na Life span ya Miaka 27-30).

Tusitegemee Faida ya Haraka Hasa Kutokana na Janga la corona Kwa Sababu Mashirika Mengi Makubwa yamepata HASARA Kubwa Kutokana na ukosefu wa Abiria na Mizigo na Kufungwa kwa Nchi MBALIMBALI Kutokana na Janga Hili na kumbuka Kama Shirika(Air Tanzania) lilikuwa na Mikakati Mikubwa ya Safari za kwenda Mashariki ya Mbali Hasa Guenzhou China,Bombay India na Nchi MBALIMBALI ikiwemo London Uingereza...

Kutokana na Majanga Haya Automatic Lazima Mapato yashuke kwa Kiwango Kikubwa Hasa na Hali Halisi ya Soko na Uendeshaji wa Vyombo Hivi vya Usafiri Hasa Malipo ya wafanyakazi,Ukarabati wa Vyombo,Malipo ya parking ya Viwanja vya Ndege,Malipo ya anga na Tozo MBALIMBALI za aviation Industry.

Nenda Kenya Airways,Egpty Air,South African Airways,Ethiopia Airlines ...Kote Huko Utakuta Hasara kubwa Katika Uendeshaji..

Ni muhimu sana tuwe tunafuatilia taarifa, wakati ATCL yetu (shirika linalofufuliwa) likitajwa kupata hasara ya shilingi Bilioni 60 kwa mwaka mmoja, na baadhi ya watu kuifanya kuwa ajenda kubwa na jambo la kushangaza sana, nataka mfuatilie pia hasara za baadhi ya mashirika makongwe na makubwa zaidi barani Afrika.

- Mathalani, Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 700 (mara 11 ya hasara ya ATCL) katika kipindi hicho hicho ambacho ATCL imepata hasara ya tzs Bilioni 60.

- Na shirika la ndege kongwe zaidi Afrika, Ethiopian Airlines, limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Tzs Trilioni 1.1 (Bilioni 1,100) ambayo ni hasara kubwa mara 18.3 zaidi kuliko ATCL.

Sote hatufurahii hasara hata kama sisi tuna hasara ya Bilioni 60, lakini kwa sababu mbili tu za sasa... uchanga wa ATCL na dunia kuzongwa na KORONA zinaweza kuifanya ATCL ijikongoje, wakati mashirika makubwa kama KE Airlines na ETH Airlines yakizongwa pia na korona.

Pia kwa mwaka jana peke yake, mashirika makubwa zaidi ya ndege duniani, kama – Delta Air Lines, American Airlines, Lufthansa Group, United Airlines, Air France-KLM, na IAG yamerekodi hasara kubwa kabisa kihistoria ya zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 110 ambayo ni zaidi ya shilingi trilioni 2,500 za Tanzania.

Mwisho wa siku na katikati ya changamoto hizi, tunakubaliana kuwa ATCL inahitaji mikakati na mbinu za hali ya juu kibiashara ili itoke hapo ilipo, ikiwemo kuacha kabisa kufanya kazi kwa mazoea.

Tuache kuingiza siasa kwenye sensitive issues.

Ahsanteni sana !!!


Inawezekana kabisa kufupisha maongezi kwa hoja chache kama ifuatavyo.

MOSI, mwaka ule Nyerere alipokufa London, serkali ya Uingereza (nadhani ya Tony Blair) ilitoa offer ya kuleta mwili wake. Mkapa akakataa, akapeleka ndege yetu ya ATC na Rubani Ngandile.

PILI, mwaka karibu huo huo alikuja mgeni maaroof, raia wa Vatikano kule Italy, Papa Yohane Paulo II (sasa ni Mtakatifu Karoli Wojtyila). Alikuja kwa ndege ya Alitalia ingawa wakati huo SWISSAIR ndiyo ilikuwa inatamba.

TATU, Malkia wa Uingereza kila aendako hutumia British Airways (wao huita "flying the flag").

NNE, Wakati wa Vita vya Kagera, BOEING 737 ya ATC ilitumwa toka Mwanza hadi Dar es Salaam na Zanzibar kumchukua abiria mmoja tu, jina lake Muhidin Kimario wakati huo akiwa ni Katibu wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba. General Kimario alitoa mchango mkubwa tukashinda vita hiyo.

TANO, Tanzania, India, Brazil, Russia, Congo, ni nchi kubwa kubwa. Ema muwe na ndege zenu, au mlete Belgian Airlines za tundulissu. On the other hand, Israel , Switzerland, Qatar, Rwanda ni tunji tudogodogo, ndege kabla haijatulia angani imeshafika nchi jirani. Ona zinavyojaa ATC ya Dodoma, Mwanza, KIA, Mpanda, Iringa, au Songwe: je, huwa tunaokoa shilingi ngapi na tukileta ufanisi gani?

SITA, Maneno ya wapinzani hayana mantiki. Mtu amwulize huyu zittokabwe (alikuwa mwenyekiti wa PAC wakati huo) mwaka ule ATC ilipewa makaburu. What happened exactly? He will know, lakini for sure hakuna uzalendo pale.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba WHETHER ATC INAPATA FAIDA AU HASARA, VIGEZO VYAKE HAVIJAKAMILIKA. Kuleta mwili wa Nyerere ni gharama tupu, "expensive", haina kipato. Je, ni kweli haina kipato? Utaipa thamani gani safari hiyo? Abiria Kimario utamcharge shilingi ngapi?

Of course CAG ni Mhasibu, CPA Kadete, ana uzoefu mkubwa. Lakini audit yake imemfunga, inabidi atumie IFRS ambazo hazimjui Kimario wala Papa.

Uamuzi wa mwisho mie nashauri uende beyond IFRS.
 
Point ya watu ni ule uongo kwamba kulikuwa na faida. Ila ni kweli faida ya kuwa na shirika hai la ndege haiko kwenye balalance book pekee. Ni vizuri kufufua ATCL.
Tunasahau hapa kuna mambo mawili. Ndege ni mali ya Serikali pa se na ATCL wanakodi kufanyia kazi (lease). Sijawahi kusikia lessor amepata hasara tangu nipate akili. Hivyo aliyesema kapata faida ni lessor, mwenye ndege, hapa ndio serikali na waliogundulika kupata hasara ni ATCL mwendeshaji.
 
Kusomesha watu ni huduma kutibu watu ni huduma acha ufara
Wengi wameanza kudai kuwa Serikali imekosea sana kununua ndege maana ni vitu vya hovyo na vyenye kuleta hasara tu kwenye nchi.

Kabla sijaenda mbali, ngoja niulize vijiswali..

1. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kwenye mikopo ya elimu ya juu na kuchelewa kupata return, Je ni hasara au faida? Mbona wapinzani hamjazisemea?

2. Hivi pesa zote Serikali inazozitoa kama ruzuku ya vyama vya siasa, ni hasara au faida kwa nchi?

3. Hivi fedha zote Serikali inazozotoa kuchapisha vitambulisho vya taifa na vipalata vya mpiga kura na kuvigawa bure bila malipo, ni hasara au faida kwa nchi?

4. Hivi mnajua kuwa treni ya abiria, Huduma za umeme, maji, tiba ( hospital) huendeshwa bila ya Serikali kupata faida yoyote? Je ni hasara au faida kwa Nchi?

Ndugu zanguni watanzania wapenzi, siku zote Serikali huwa aifanyi biashara Bali inatoa Huduma. Hela kidogo tunazozitoa kama malipo ni kama kusaidia uendeshaji na ujenzi wa nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Serikali ina mipango ya aina 3 :

1. Mipango ya muda mfupi

2. Mipango ya muda wa kati.

3. Mipango ya muda mrefu.

Pia kwa sisi tuliyopitia elimu kidogo ya miradi na uwekezaji, tunajua kuwa :

- Kuna uwekezaji wa muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu..

- Kuna miradi ya muda mfupi, wa kati na wa muda mrefu.

Shirika letu la ndege " ATCL" kama mashirika mengine ya ndege duniani hutoa Huduma na pia kwa taifa ni uwekezaji au mradi wenye kuleta faida kwa muda mrefu ( Long term).

Huwezi kununua NDEGE Leo, alafu kesho ukategemea kuvuna pesa eti faida.

ATCL kupata hasara sio jambo la Ajabu kabisa, Kwa muda huu wa miaka 5-7 tusitegemee itatengeneza faida maana ile ni Project ya Long term na sio short term kama kununua unga wa ngano na kuuza maandazi barabarani.

Kwa miaka hii mitatu hathari za corona zitakuwa ni mwiba kwa biashara za Airlines na hata Shirika letu la ATCL litasurvive kidogo na kwakua lina soko zuri la ndani.

Kwa miaka hii mitano mashirika karibia yote ya ndege makubwa Emirates airlines, Ethiopia Airlines, Kenya Airways, American airlines, south afrika Airlines, British Airlines yote yametengeneza hasara kwa sababu ya Madhara ya muda mrefu ya Covid 19.

Ni mjinga Pekee au mtu asiye na uelewa wakutosha kwenye swala la Airlines na mtu mwenye chuki binafsi ambaye ataizodoa serikali kuhusu hasara ya ATCL.

Kwa watu wazoefu wa mambo ya Airlines...

Hii ni hasara ndogo sana kwenye airline industry.

Industries zote za airlines zilikua very Fragile hasa kwenye kipindi hichi cha Corona..

Mashirika yote duniani yame record hasara kubwa zaidi kuliko ATCL kipindi hiki cha covid 19.

Ukizisoma Hesabu zilizokaguliaa za Precision Air kwa zaidi ya miaka 10 haijawahi kuwa na Positive Cash flowing wala kuwa na devidened kwa shareholders wake.

biashara ya ndege ni complex kidogo

The way corporate loses are calculated sio kwamba lazma hawakutengeneza faida.

Iko hivi : kama Air tanzania kwa mwaka 2020/21 kulingana na ndege ziliviozunguka walitarajia kupata 30 billion against operation cost of 5 billion, wakaja wakapata 20 billion, accounts report mwisho wa mwaka itasoma wamepata 10 bilion loss but in essence walipata 15 bilioni profit but because they didnt reach the target itasoma loss.

• TUWARUDISHE DARASANI KIDOGO

- HASARA KATIKA UENDESHAJI WA NDEGE.

Kwa Mujibu wa Ripoti ya IATA Bara la Afrika Limepoteza Kiasi Cha $ Bilion 8 Katika Soko la BIASHARA ya Ndege Kwa Mwaka 2020.

Uendeshaji wa Ndege sio sawa na Gari, Ndege inategemea sana Soko la Abiria na Soko la Mizigo Kutoka Sehemu MBALIMBALI

Katika Shirika Lolote la Ndege Linategemea Vyanzo MBALIMBALI vya Mapato :

- Upatikanaji wa Abiria.

- Upatikanaji wa Mizigo ya Kutosha.

- Muunganiko wa BIASHARA Baina ya Shirika na Shirika au Nchi na Nchi (Airlines Code share Agreement).

- Vyuo vya Mafunzo vya Shirika(Mfano Air Tanzania Training Center).

-Ruzuku toka Serikali Kuu(Subsidiary)

• FAIDA ZA MOJA KWA MOJA za Shirika Lolote la Ndege(Direct Benefits) :

- Upatikanaji wa Mapato MBALIMBALI kwa Wakati na Kujiendesha.

• FAIDA ZISIZO ZA MOJA KWA MOJA yaani Indirect Benefits) :

- Ku Boost National Development and Economy.

- Ku Boost Tourism Trade.

- Ku facilitate Passenger and Cargo Transportation.

- Kupunguza Gharama za Usafiri wa anga Hasa Kwenye Domestic and International Trade.

Kwa Shirika Letu la Air TANZANIA Lenye Idadi ya Ndege tisa "9" ikiwemo Ndege 6 Mpya(Boeing 787-8 Moja,Dash 8 400 Bombardier Tatu na Airbus A220-300 Mbili zenye Jumla ya Thamani ya USD 488.6 Million na Life span ya Miaka 27-30).

Tusitegemee Faida ya Haraka Hasa Kutokana na Janga la corona Kwa Sababu Mashirika Mengi Makubwa yamepata HASARA Kubwa Kutokana na ukosefu wa Abiria na Mizigo na Kufungwa kwa Nchi MBALIMBALI Kutokana na Janga Hili na kumbuka Kama Shirika(Air Tanzania) lilikuwa na Mikakati Mikubwa ya Safari za kwenda Mashariki ya Mbali Hasa Guenzhou China,Bombay India na Nchi MBALIMBALI ikiwemo London Uingereza...

Kutokana na Majanga Haya Automatic Lazima Mapato yashuke kwa Kiwango Kikubwa Hasa na Hali Halisi ya Soko na Uendeshaji wa Vyombo Hivi vya Usafiri Hasa Malipo ya wafanyakazi,Ukarabati wa Vyombo,Malipo ya parking ya Viwanja vya Ndege,Malipo ya anga na Tozo MBALIMBALI za aviation Industry.

Nenda Kenya Airways,Egpty Air,South African Airways,Ethiopia Airlines ...Kote Huko Utakuta Hasara kubwa Katika Uendeshaji..

Ni muhimu sana tuwe tunafuatilia taarifa, wakati ATCL yetu (shirika linalofufuliwa) likitajwa kupata hasara ya shilingi Bilioni 60 kwa mwaka mmoja, na baadhi ya watu kuifanya kuwa ajenda kubwa na jambo la kushangaza sana, nataka mfuatilie pia hasara za baadhi ya mashirika makongwe na makubwa zaidi barani Afrika.

- Mathalani, Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 700 (mara 11 ya hasara ya ATCL) katika kipindi hicho hicho ambacho ATCL imepata hasara ya tzs Bilioni 60.

- Na shirika la ndege kongwe zaidi Afrika, Ethiopian Airlines, limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Tzs Trilioni 1.1 (Bilioni 1,100) ambayo ni hasara kubwa mara 18.3 zaidi kuliko ATCL.

Sote hatufurahii hasara hata kama sisi tuna hasara ya Bilioni 60, lakini kwa sababu mbili tu za sasa... uchanga wa ATCL na dunia kuzongwa na KORONA zinaweza kuifanya ATCL ijikongoje, wakati mashirika makubwa kama KE Airlines na ETH Airlines yakizongwa pia na korona.

Pia kwa mwaka jana peke yake, mashirika makubwa zaidi ya ndege duniani, kama – Delta Air Lines, American Airlines, Lufthansa Group, United Airlines, Air France-KLM, na IAG yamerekodi hasara kubwa kabisa kihistoria ya zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 110 ambayo ni zaidi ya shilingi trilioni 2,500 za Tanzania.

Mwisho wa siku na katikati ya changamoto hizi, tunakubaliana kuwa ATCL inahitaji mikakati na mbinu za hali ya juu kibiashara ili itoke hapo ilipo, ikiwemo kuacha kabisa kufanya kazi kwa mazoea.

Tuache kuingiza siasa kwenye sensitive issues.

Ahsanteni sana !!!


 
Kutetea haya ya ATCL kwa Ile 1-4 uliyoanza nayo pale juu utakuwa hujafikiria vizuri...nitazungumzia 1,3,4

1.Kwa vyovyote vile serikali ni lazima itoe mikopo ya elimu ya juu kwa kijana wa kitanzania

Hilo halitakuja kusimama kwa sababu ya hasara,serikali inakusanya kodi+vyanzo vyake vingine vya mapato ambavyo vina mhusu mtanzania na ndo maana kupitia hii wanajitahidi kufanya hata elimu ya msingi na sekondari kuwa bure...kwa hili hakuna hasara japo pesa za elimu ya juu inahesabika kama mikopo kana kwamba wafaidika wanatakiwa wailipe hapo baadae.

3.Kitambulisho cha taifa kinatolewa bure pia si hasara kwa serikali..ni muhimu kuwa na kitambulisho Kwa kila mtanzania na ndo maana serikali imebeba hizi gharama kwa kodi ya mtanzania mwenyewe...haijalishi pesa ngapi wanatumia lkn umuhimu wa hii kitu ndo maana zoezi likaenda for free of charge

4.treni ya abiria,umeme,maji na tiba hizi ni huduma za kijamii mzee. Haijalishi hasara ngapi wanapata hivi vitu lazma viwepo,na ndo maana kila mwaka wa bajeti hivi vitu vinapewa kipaumbele kwa sababu tutakuwa taifa la ajabu Duniani kama hakuna hizi huduma ila Dunia haitatuona wa ajabu kwa kutokuwa na shirika la ndege
.
.
Hayo hapo juu wala si biashara kwa serikali lkn hili la ATCL ni swala la kibiashara japo biashara ina faida na hasara sasa penye hasara lazma pajadiliwe na parekebishwe ili faida ipatikane...
 
Hii kitu umeeleza vizuri sana kwa sisi wataalam wa masuala ya air transport management tunakupa big up kwa kuielimisha Jamii ya kitanzania kwa wale wanaopenda kuelimishwa.
 
Mkuu Nyani Ngabu shida ni kwamba kwa muda wote wa miaka 5 tuliaminishwa shirika linatengeneza faida sana hadi kufikia kiwango linatoa gawio kumbe ni uongo sasa wananchi lazima wajiulize je mapambio yale yalilenga kitu gani hasa?

Wale walioshauri tununue kwa mkopo taratibu pamoja na aina za ndege za kununua walionekana ni wasaliti hawaitakii mema nchi sasa muda huwa ni mwalimu mzuri sana.
Nani alisema Lina faida, embu leteni evidence ya mtu alisema Lina faida, sababu mm binafsi sijawai sikia icho kitu
 
Screenshot_20210329-171601.png
Screenshot_20210329-000300.png
 
Back
Top Bottom