H
huyu atakuwa alijipendekeza mnooo. yaani mimi kuna wifi huyo baada tu ya kufunga ndoa eti ananitumia message nimtumie 1m. nikatuma ya message ya kumnyima. bahati nzuri haikuwa delivered maana niliandika kwahasira.
Hajawahi kuniomba tena. yaani nisimpe mama yangu hela. nije nikupe wewe wifi...
acha kula wanga kabisa na sukari kwa mwezi mzima mazoei kidogo tu sio yale ya kujichoshaaa, utanishukuru baadae.
mimi nilianza rasmi diet may 2021. kufikia October nikapungua 15kg. nipo na maintain nao. nilikuwa 104kg sasa 89kg. niataanza tena baadae.target 80kg
kula proten za wanyama kula...
hivi hizi mambo za kugongewa mnazitoaga wapi? yaani hata huwa siwaelewi yaani kwamba sis wanawake tuna nyeeeeeege mda wote, kila me anaetukaribia anatuvua
JIRANI YANGU ALIZAA NA MIAKA KUMI NA NNE, BINTI YAKE YPO CHUO KIKUU, WAKITEMBEA WOTE UTASEMA MTU NA MDOGO WAKE, ANA WATOTO SITA HUWEZI AMINI MWILI WAKE
mawazo mgando ndo maana ndoa imekushinda. shughulika na afya ya akiliyako kwanza kabla hujaanza mahusianoo mapya.
hakuna binadamu alie tayari kuburuzwa, watoto wako ukiwamistreat wanaenda zao kitaaa kuwa machokoraaa, sembuse mke mwenye option ya kuolewa tena , ana kujishughulisha akawa na...
hivi nyie wanaume ukilala na mwanamke mwingi unakuwa unafanya kumkomoa mke wako au vile tu kidudu kimewasha. yaani utumie dhana zako mwenyewe halafu akili yako ikuaminishe kuwa unamkomesha mtu. mpyuuuu hamtuji vizuriiii
huyu mkeo mvumilivu sana, huwezi pat mwingine kama yeye hicho kipigo kwa miaka 15 alikivumilia kwa sababu zipi yaaani.
can you please list them.
ni kitombo tu au nini mapaka akawa tayari kufia hapo kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.