Habari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. 👇
Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule...
Naomba kuwasilisha hivi kuanzishwa tena kwa TIPA hapa nchini kuna kikwazo cha aina yoyote ile..?
NB: TIPA - Ni kiwanda kilichokuwa kikichakata Crude oil ( mafuta yasiyosafishwa ) hapa nchini.
Hii najua itapelekea kupungua kwa mfumuko wa bei unaondelea katika sekta ya mafuta.
Lakini pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.