Mimi nilikuwa simshabikii dai kabsaa lakini nilivyoona jitihada zake za kuupeleka mziki wetu nje nilijikuta nakuwa shabiki wake, tukatae tukubali diamond kamuacha mbali Sana kiba ingawa na kiba pia anajua kuimba lakn kuna tofauti kubwa sana Kati yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa kwenye nyumba za ibada inatakiwa kukemewa kwa nguvu maana inaweza leta matabaka kwa watu.Sijui kwann serikali inamkalia kimya huyu anayejiita Mchungaji badala ya kukemea anachofanya au aweke wazi Kama ndo kaingia rasmi na yy kwenye siasa aache uhuni wake huyo gwajima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.