Shida ni mishahara kweli haikidhi haja. Wengi wanaosema wamepata maendeleo mfano ya kujenga nyumba nzuri pesa zao ukichunguza kuna ambazo si kwa stahili ya kazi zao. Kuna ambao ni rushwa na hao ni wengi na wengine ni kwamba walitumia kazi kama mtaji wa kufanya mengine ambayo yamekuwa ni milango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.