Recent content by markdendesi

  1. M

    Utaratibu wa kusajili gari za mnadani

    Ni utaratibu gani unatumika kusajili gari ya serikali iliyonunuliwa kwenye mnada?
  2. M

    Hii imekaaje ndugu zangu?

    mwanamke kuondoka nyumbani bila taarifa wala kutaka kuwasiliana ni hali ya dharau na udhalilishaji kwamba wewe si lolote kwenye nyumba yenu. fikiri kwa umakini.
  3. M

    Hujafa Haujaumbika:Story ya kusikitisha sana

    Ama kwa hakika nimeamini ya watu vinaponza na hasa aliposema hakujua kama kuna mmiliki. Maskini weee macho juu yamemponza
  4. M

    Lazima mjue kutofautisha

    mbuzi na kondoo ziwa na bahari mawio na machweo
  5. M

    Kama hujazaliwa chini 1990 mambo haya hutayajua

    kukata vifungo kwenye nguo ili kucheza kamari kutumia kombeo za mabua ya mahindi kutumia bembea zilizopo kwenye miti mikubwa misituni
  6. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mawazo ni sehemu ya changamoto za kutafuta ufumbuzi
  7. M

    Nani atatosha kuwa Waziri wetu wa Fedha baada ya kifo cha Dk. Mgimwa?

    kweli hiyo nafasi inahitaji mtu makini hususani kipindi hiki kilichobakia kuelekea uchaguzi mkuu
  8. M

    Why Do Men Change After Marriage?

    The question of care not existing after marriage is just a matter of perception and expectations. Most of the individuals running for marriage they think that, after marriage they transfer or move from one world to completely a new world something which is not the case.
  9. M

    Wanafunzi wamtesa konda.

    hasara ya mwenye roho mbaya kwa wanafunzi
  10. M

    Du!!! Mathematics noma, Msome huyu dogo alivyojibu swali la necta

    Nkoamangasha sec school ( ero malimu inaleta sarau ya sisi kufanyia swali yake chini, lasima niipate swali yake hata kama imeamua tukae chini
  11. M

    Mchaguaji Si Mtendaji

    Mchagua pombe si mnywaji
  12. M

    Mchaguaji Si Mtendaji

    Mchagua K*m* si ................
  13. M

    Kuipata kazi kweli kweli

    Nitamu sana pindi ukiipata, ila kuipata kwake ufanye kazi ya ziada kweli kweli 1. Kuipata ni shida maana ni tamu thanaaaaa 2. Unapaswa uwe na maneno matamu yenye ushawishi 3. Uwe mvumilivu na usiyekata tamaa kirahisi 4. Uwe tayari hata kupokea majibu usiyotarajia 5. Uipatapo yaweza kuwa chungu...
Back
Top Bottom