Sasa UKAWA kuna nani wa kumchukua jamani? Hapo mlipo katibu mkuu hamna cuf na hawana mwenyekiti viongozi wote ni wachumia tumbo sie twataka? HapaKaziTu!!!
Kumbuka huyu ni mtu wa kiroho anatakiwa awe mvumilivu maana imeandikwa atakaevumilia hadi mwisho atavikwa taji ya uzima!!!
Sasa yeye kitu kidogo tu kinamtoa imani na kumtoa kwenye neno?
Hivi mbona sijawahi kusikia Magufuli kamsema au kumchafua mtu? Najua ahadi ya kuu ni viwanda na bila viwanda hatuwezi kukuza uchumi wala kupata ajira viwanda kwanza mengine yatajileta yenyewe!!! Mmebaki porojo tu Lowasa Lowasa kwa lipi? Na mnajua fika Magufuli ni jembe na ndie Raisi utaki kaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.