Recent content by mark sam

  1. M

    Mheshimiwa Rais, tumia ndege ili kunusuru maisha ya askari

    Sasa Singida ndege ya raisi ingetua wapi wewe? Dodoma kwenyewe haiwezi kutua
  2. M

    Bei ya mafuta kwa wenzetu leo, lita 1 ni shilingi karibu Tsh 270-Tazama

    Sio SUMATRA wanaousika mkuu bali ni EURA
  3. M

    Rostam na Lowassa, msaidieni Meshack wa Channel 10!

    Lakini alikuwa Chanel ten na pia ujumbe umefika
  4. M

    Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

    Kumbe mipango ilikuwepo long time duh!!
  5. M

    Bundi katua Nyumba ya Jirani, Katibu wa Wilaya (CHADEMA) Lindi ajiunga na CCM

    Sasa UKAWA kuna nani wa kumchukua jamani? Hapo mlipo katibu mkuu hamna cuf na hawana mwenyekiti viongozi wote ni wachumia tumbo sie twataka? HapaKaziTu!!!
  6. M

    List of shame yaondolewa kwenye tovuti ya CHADEMA

    Hii sasa hatari bungeni wataongea nini hawana jipya ndo maana mgombea wao hadhubutu kuongelea ufisadi
  7. M

    Mbowe asalimu amri kwa Slaa

    Najua ni ngumu wao kuamini unachosema mpaka watapoona ila ki ukweli hali sii shwari UKAWA
  8. M

    GE2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

    Kila askofu fisadi sii rafiki na CCM huyu nae alitapeli mitambo ya watu kibabe hana jipya
  9. M

    Majimbo 11 Ambayo UKAWA Wasipoteze Fedha Washapita

    Ndo maana mnaitwa wapumbavu maana hamtaki kujua kwamba CCM ni chama kubwa si rahisi kama mnavyoona.
  10. M

    Huyu ndiye yuleyule Magufuli, au tumtarajie mwingine?

    Magufuli hoyeeeeee!!
  11. M

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Kumbuka huyu ni mtu wa kiroho anatakiwa awe mvumilivu maana imeandikwa atakaevumilia hadi mwisho atavikwa taji ya uzima!!! Sasa yeye kitu kidogo tu kinamtoa imani na kumtoa kwenye neno?
  12. M

    Ahmed Rajabu: Magufuli anampigia kampeni Lowassa bila kujua

    Hivi mbona sijawahi kusikia Magufuli kamsema au kumchafua mtu? Najua ahadi ya kuu ni viwanda na bila viwanda hatuwezi kukuza uchumi wala kupata ajira viwanda kwanza mengine yatajileta yenyewe!!! Mmebaki porojo tu Lowasa Lowasa kwa lipi? Na mnajua fika Magufuli ni jembe na ndie Raisi utaki kaa...
  13. M

    Kunguni wawili aliowataja Magufuli Kilindi ni nani hao??

    Naona imekuuma kweli kweli au na wewe ni mmoja wapo wa kunguni?
Back
Top Bottom