Recent content by Mark.J

  1. M

    Miezi sita bila Dkt Magufuli: Watanzania waliisoma na kuielewa dhamira ya Rais Magufuli iliyotiririka kama maji

    Tujipe miaka/miezi michache tuanze tena kulia lia tukiomba rais kama JPM. Tatizo watu wana ubinafsi na tamaa sana bila kujua lazima kila reformation ije na maumivu makubwa na inabidi kuvumilia kwa ajili ya vizazi vijavyo. Huwezi kupata mtu kamilifu lakini unaweza pata someone who will get the...
  2. M

    Uthibitisho: Wazungu wana akili zaidi kuliko Makabila mengine Duniani. Sisi wa Mwisho.

    Mimi nasema kuna vitu vitatu vinavyoelezea hii hali. Majira, mazingira na jamii. Dunia inaongozwa na majira. Wazungu si wa kwanza kwa maendeleo ila ni wakati wao huu. Wamisri walikuja wakapita, waajemi nao, nk. Tukija karibuni hapa mwingereza katawala sehemu kubwa sana ya dunia lakini wakati...
  3. M

    Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    Mimi pia nna mawazo haya. Je, naweza kuuza gesi za kampuni zaidi ya moja?
  4. M

    Huyu jamaa yupo nje au ndani ya nyumba

    Si unamwona kabisa hapo nje
  5. M

    Mtanie wa juu yako

    Naskia we mweusi sana mpaka mbu akitaka kukuuma anatafuta kwanza tochi
  6. M

    Mtanie wa juu yako

    Kwenu mna TV ndogo mpaka mnaangalia kwa jicho moja
  7. M

    Msaada wa kutibu Epilepsy

    Nna mdogo wangu ana hili tatizo la epilepsy. Limemsumbua kwa miaka mingi, zaidi ya 10. Hata kusoma kasoma kwa shida. Kuna daktari alikuja kumpa hizo phenobarbitone tatizo likapungua angalau akaweza kumalizia shule. Sasa alikuja kwangu nikae nae nkaona tatizo bado lipo japo anatumia hizo dawa...
  8. M

    Tuliozaliwa zamani kuna haya. Je, ulishawahi kukutana nayo?

    Umetisha mkuu. Ongezea hizi: * kukimbiza ringi kwa kamba au mti, * kupopoa maembe njiani wakati wa kutoka shule, * kutega ndege kwa ulimbo, * kupiga baruti siku ya mwaka mpya, * kuvaa visoda shingoni darasa la kwanza na la pili, * kusikiliza kipindi cha mama na mwana kila jmosi, * kudandia...
  9. M

    Walter Veith: The Big Five Questions

    Exactly my thinking when I was watching it. It's a lengthy video but i didn't notice the hour go by. The world needs more poeple of this calibre to come out.
  10. M

    NIMETHIBITISHA: Dunia haipo, ni unaota tu!

    This is more of relativity but deep down you end up with that. Btw, ile video yako ya pastor anaelezea science na Mungu ina mambo mengi ya kujifunza. Weka link yake hapa basi, kuna watu watatoka na kitu.
  11. M

    NIMETHIBITISHA: Dunia haipo, ni unaota tu!

    Mleta mada tofautisha infinitesimal na infinite. Infinite is very large in any direction, infinitesimal ni very small towards one point. Hapo unapopunguza distance unaelekea infinitesimal sio infinite, vile vile kwa time. Sijapinga mawazo yako, nimerekebisha kidogo. From quantum physics point of...
  12. M

    Walter Veith: The Big Five Questions

    A perfect blend between Science and Religion. The atheist should come and see this.
Back
Top Bottom