Weather it's a fake news or NOT. Hata hapa Tanzania Kuna huo UFALA sometimes unafanywa na Waislam, wa kufunga barabara kukwaza watu ili uswali. Ni kiwango kikubwa sana Cha ukosefu wa Ustaarabi
We jamaa umekuja huku kuanzisha Uzi kabisa? Una utoto sana aisee. Uliuliza swali na mhusika kwamba uoneshe sehemu alipotaja dini! Hujibu unaruka ruka. Umekuja huku umeanzisha thread
Mkuu unawakumbuka Wasabato Masalia waliotaka kwenda kuhubiri Gombo huko Ughaibuni bila kuwa na tiketi ya ndege wala Passport ya kusadiria eti Passport yao ni Biblia? Tena unaenda kuhubiri kwa Waliotuletea Dini eti Masalia tuwaweke kundi gani?
01:15 Sipati Usingizi Kabisa Jamani, nikilala hata dakika ishirini kausingizi kakianza mwili unapooza na kulegea kama naparalyse moyo unashtuka hivyo nalazimika kubaki hivyo macho bila kulala
We jamaa unakera sana. Shambulio la trump tuliona vyombo vikiact pale pale na anayedhaniwa kuwa muuaji, samamba na raia mmoja kuuawa pale pale. Baada ya hayo dola ikatangaza immediately kwamba vyombo vyao FBI na CIA tayari vimeanza uchunguzi wake!
Lissu anapigwa risasi maCCM mlizuia hadi watu...
Kinachoendelea kuhusu mgomo wa wafanyabiashara kariakoo ni
mazingaombwe. Si mgomo halisi kuna boss mkubwa wa TRA anaundiwa zengwe. Nothing is at it seems
MADA: ELIMU , AKILI, & UJINGA
Madam FaizaFoxy. Nikusalimu kwa heshima unayostahili. Kwa Muda mrefu sana kumekua na mkanganyiko katika jamii kuhusu AKILI &ELIMU. Wapo baadhi ambao wamekua wakizitumia terminologies hizi wakifikiri wanamaanisha kitu kimoja lakini baadhi ya wachache wamekua...
Plagiarism Japo umemuacknowlege mwandishi wa kwanza The Bold Ndugu umefanya kitu kimoja Cha kusononesha sana. Umemcopy kila kitu Ndg Habib M Hanga aliyeandika 2017 then Unajiweka na wewe. Umenisikitisha sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.