Recent content by Mariwand

  1. Mariwand

    Simba shida zimeisha?

    Mbona kama umekasirika mkuu
  2. Mariwand

    Unajisikiaje mpo sita kwa sita ila yeye anachati wewe unajishugulisha?

    Na ukifanya hivyo hawezi rudia kuchat huku uchakataji ukiendelea, atakuwa makini tu😂😂😂
  3. Mariwand

    Unajisikiaje mpo sita kwa sita ila yeye anachati wewe unajishugulisha?

    Akirudia siku nyingine jifanye umekosea Tundu, utakuja kunishukuru Niko palee nimesimama
  4. Mariwand

    Nawezaje kumwambia mpenzi wangu kuwa ananuka mdomo?

    Kama vp funguka tu umwambie si unampenda, mwambie
  5. Mariwand

    Ajali za barabarani zimezidi kupoteza Maisha ya Watanzania. Hatua madhubuti zichukuliwe kudhibiti

    Tz matukio ya ajali yanapotokea ndiyo utaona maafisa usalama barabarani na vitambi vyao na mbwembwe kibaao kwa ushauri wangu ushauri wa Kinana Upuuzwe
  6. Mariwand

    Kuna wanawake ambao wanatumia mizizi kuteka hisia za wanaume

    Au na mi nisharogwa nini mbona napenda kizembezembe ivi?
  7. Mariwand

    Rais Samia awapongeza Wakenya kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu kwa amani

    Jecha hadi nae akagombea kule Zanzibar na bado akaliwa kichwa😂😂😂
  8. Mariwand

    Kenya2022 Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajampongezi Rais Mteule William Ruto?

    Mkuu mbona kama umeumia au mzee wa Govi (kitendawili) ni Basha wako
  9. Mariwand

    Kenya2022 Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajampongezi Rais Mteule William Ruto?

    Niliwaambia Ruto anakuwa Rais wa Kenya na sasa imekuwa Asante Mungu
  10. Mariwand

    Orodha ya timu nisizozipenda na haitatokea nizipende abadan

    We utakuwa Muisilamu siyo Bure mmmmh
  11. Mariwand

    Kocha mkuu Yanga SC kutimkia Morocco

    Labda mliibe kombe msimu huu
Back
Top Bottom