Recent content by marido

  1. M

    Siku ya kwanza ulipoambiwa na mpenzi wako mimi na wewe basi ulijisikiaje?

    Daah mm demu wangu Wa kilokole aliniacha eti " tumuombe sana mungu " kumbe mwenzangu alipata mtu aliyejiweka sawa tayar kimaisha kuanzia iyo siku siamini tena mtu
  2. M

    Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

    Hongera bas kwa mamlaka niliopewa nakutunuku phd
  3. M

    Mada Maalum kwa Wahasibu, Wakaguzi wa Mahesabu na Wataalam wa Kodi

    Unajua kwa wahsibu. Ukishajua kwamba both CPA(T) ACCA. zinafuata. IFRS. Hutaumiza kichwa nadhan wataalam wameshaelewa
  4. M

    Kwanini TFF wanataka kumhujumu Samatta

    Mnaonaje mkichanga nauli tumia hii namba spesho tigo pesa 0713567098
  5. M

    Wachagga na Serikali ya Magufuli

    Unajua mnajiona bora sana sasa mtaisoma kwan makabila mengine mbona hawalalamiki au nyie ndo ruling class
  6. M

    Mrejesho: Nakasirishwa na wanaume wanaoomba namba ovyo

    Nashauri mtoto wenu wa kwanza aitwe kenyaeaways
Back
Top Bottom