Part two of the story:
Mume kama ana uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi, ikitokea mke amesafiri ni nafasi kubwa sana kwao kujiachia.
Ni katika kipindi hicho, hausigeli ataweza kuingizwa hadi chumbani na kulala. Tena wengine hujiachia vibaya, kwani hata akiamka asubuhi anaweza kuacha...
Duh poleni sana. Muwekeni baba yenu katika maombi naamini Mungu atawaonyesha njia sahihi ya kuhandle tatizo.
Binti wa kazi mtafuteni 4 medical check ups na ushauri nasaha.
Duh yaani Cheusi umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka semister ya tatu chuo niliishi na shoga yangu mmoja, kwa kweli ni ngumu sana ukizingatia kila mtu kakulia kivyake. Tulikuwa tunapika kwa zamu, ikifika zamu yake visingizio haviishi kumbe maskini alikuwa hapendi kupika na mimi kupika napenda...
Mke ukiona haya jua kuna kitu hakijakaa sawa kati ya baba na dada anayewasaidia kazi za ndani...
DALILI YA KWANZA
Ishara ya kwanza ya mwanaume ambaye tayari yupo ndani ya uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi ni kupenda sababu za kumwamsha mfanyakazi huyo hata pale anaporudi na kumkuta...
Habarini friends,
Hapa ofisini nina mfanyakazi mwenzangu, tumezoeana na kuwa very close friends. Yeye kaolewa huu mwaka wa tano na mumewe kwao wanajiweza kifedha (wakwe), karibu kila siku ananung'unika jinsi wakwe zake na mawifi wanavyoingilia ndoa yao ikiwemo mipango yao ya maendeleo. Wakwe...
By Staff Reporter
THE MOST TOXIC TREE WHICH BECAME A CURE
TANZANIANS have been taken in emotions over the miraculous cure being offered by the retired Pastor of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) one pastor Ambilikile Mwasapile at an off the road Samunge Village in Loliondo...
Habari zenu vijana na wazee(wakubwa) shikamooni.
Nimevutiwa na mijadala ya humu jukwaani hivyo nimejiunga na hii forums rasmi.
Ntafurahi kupata ushirikiano kutoka kwenu Great thinkers.
Pamoja daima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.