- Thread starter
- #121
Huyu mzee hajafungwa tu bado? na mtoto mwenyewe mbona kaingia mitini? tupe feedback
Natafakari kwenda polisi kama alivyoshauri X Pasteri....
Huyu mzee hajafungwa tu bado? na mtoto mwenyewe mbona kaingia mitini? tupe feedback
Mambo ya familia yanamalizwa kifamilia. Kaeni kifamilia myazungumze. Cha msingi kama mmoja alivyoshuri, kampimeni huyo binti kama ni mjamzito au kama ameathirika. Kama hana tatizo, basi mumsihi mambo yaishe kwani suala hili likipelekwa kisheria, baba atafia jela
Wadau wa JF.
Hiki ni kisa cha ukweli kilichotokea wiki iliyopita. Ninakiandika kwa huzuni sana na aibu kubwa. Nilikuwa safarini na niliporudi nimekuta kesi hii inafukuta ikiwa imetokea kama siku 2 kabla ya mimi kuwasili.
Baba yangu ana umri wa miaka 70 plus. Mama yangu yupo Mid 60s. Ilitokea kwamba wana housegirl wa umri wa miaka 18 hivi toka maeneo ambayo hutoa wasichana wengi wa jinsi hii.
Bila kupamba jambo hili, baba yangu amembaka huyu msichana wakati mama hayupo. Msichana alitaka kwenda kushitaki polisi ila aliombwa sana na ndugu zangu asifanye hivyo.
Jambo hili limeleta vurugu kubwa sana nyumbani. Hakuna anayetaka kungea na mzee na mama amesema anafunga mizigo yake arudi kwao (at that age?). Watoto tumebaki tunashangaa hatujui la kufanya maana wale ni wazazi wetu na tunaona aibu hata ku-share na spouses wetu (tunaogopa kumbe nyiye ndivyo mlivyo). Pia watu wa dini unaanzaje kuwaelezea? Tunajiuliza kama huyo binti amepata ujauzito je? Kama akiamua kushitaki polisi je?
Yani sijawahi kupata fedheha kama hii. Hata sisi kwa sisi hatutaki kulizungumzia jambo hili.
Tumsaidieje mama?
Tuokoeje ndoa yao? Mzee hataki kukaa nyumbani safari za hapa na pale haziishi!
Tumsaidieje yule binti wa watu na trauma hiyo?
Naombeni msaada, bila matusi tafadhali. Mbakaji akiwa mbali rahisi kusema - afungwe, ila baba yako unasemaje?
Tafakari kwa kina kabla hujafanya maamuzi, na kama hauko tayari kukabiliana na matokeo yake bora ukae kitako uwaze upyaNatafakari kwenda polisi kama alivyoshauri X Pasteri....
Mkuu hizo zote ni moja za hatua ambazo mlipaswa kuzifuata, na si kuleta ilo tatizo humu JF.Unaongea mara waende kwa wazee, kisha unasema waende polisi. Kwahiyo unataka nikafungue kesi? You are just bluffing. Ila sishangai msimamo wako ktk maswala haya nauelewa sana
Mizee kama hii huwainatisha msichana kwa kisu au bastolaHuyu baba atakuwa na ukwasi wa kutisha, au ni skills zipi za kumzuzua binti kigoli hadi aingie laini?! I think 18yrs si umri mdogo wa kudanganywa kwa pipi, palikuwa na mazingira aliyajenga na yeye
Wadau wa JF.
Hiki ni kisa cha ukweli kilichotokea wiki iliyopita. Ninakiandika kwa huzuni sana na aibu kubwa. Nilikuwa safarini na niliporudi nimekuta kesi hii inafukuta ikiwa imetokea kama siku 2 kabla ya mimi kuwasili.
Baba yangu ana umri wa miaka 70 plus. Mama yangu yupo Mid 60s. Ilitokea kwamba wana housegirl wa umri wa miaka 18 hivi toka maeneo ambayo hutoa wasichana wengi wa jinsi hii.
Bila kupamba jambo hili, baba yangu amembaka huyu msichana wakati mama hayupo. Msichana alitaka kwenda kushitaki polisi ila aliombwa sana na ndugu zangu asifanye hivyo.
Jambo hili limeleta vurugu kubwa sana nyumbani. Hakuna anayetaka kungea na mzee na mama amesema anafunga mizigo yake arudi kwao (at that age?). Watoto tumebaki tunashangaa hatujui la kufanya maana wale ni wazazi wetu na tunaona aibu hata ku-share na spouses wetu (tunaogopa kumbe nyiye ndivyo mlivyo). Pia watu wa dini unaanzaje kuwaelezea? Tunajiuliza kama huyo binti amepata ujauzito je? Kama akiamua kushitaki polisi je?
Yani sijawahi kupata fedheha kama hii. Hata sisi kwa sisi hatutaki kulizungumzia jambo hili.
Tumsaidieje mama?
Tuokoeje ndoa yao? Mzee hataki kukaa nyumbani safari za hapa na pale haziishi!
Tumsaidieje yule binti wa watu na trauma hiyo?
Naombeni msaada, bila matusi tafadhali. Mbakaji akiwa mbali rahisi kusema - afungwe, ila baba yako unasemaje?
Wadau wa JF.
Hiki ni kisa cha ukweli kilichotokea wiki iliyopita. Ninakiandika kwa huzuni sana na aibu kubwa. Nilikuwa safarini na niliporudi nimekuta kesi hii inafukuta ikiwa imetokea kama siku 2 kabla ya mimi kuwasili.
Baba yangu ana umri wa miaka 70 plus. Mama yangu yupo Mid 60s. Ilitokea kwamba wana housegirl wa umri wa miaka 18 hivi toka maeneo ambayo hutoa wasichana wengi wa jinsi hii.
Bila kupamba jambo hili, baba yangu amembaka huyu msichana wakati mama hayupo. Msichana alitaka kwenda kushitaki polisi ila aliombwa sana na ndugu zangu asifanye hivyo.
Jambo hili limeleta vurugu kubwa sana nyumbani. Hakuna anayetaka kungea na mzee na mama amesema anafunga mizigo yake arudi kwao (at that age?). Watoto tumebaki tunashangaa hatujui la kufanya maana wale ni wazazi wetu na tunaona aibu hata ku-share na spouses wetu (tunaogopa kumbe nyiye ndivyo mlivyo). Pia watu wa dini unaanzaje kuwaelezea? Tunajiuliza kama huyo binti amepata ujauzito je? Kama akiamua kushitaki polisi je?
Yani sijawahi kupata fedheha kama hii. Hata sisi kwa sisi hatutaki kulizungumzia jambo hili.
Tumsaidieje mama?
Tuokoeje ndoa yao? Mzee hataki kukaa nyumbani safari za hapa na pale haziishi!
Tumsaidieje yule binti wa watu na trauma hiyo?
Naombeni msaada, bila matusi tafadhali. Mbakaji akiwa mbali rahisi kusema - afungwe, ila baba yako unasemaje?
Mkuu, nami kwa nihaba yangu binafsi naweza kusema napokea na kukubali kwa kuomba kwako radhi, ila swali linakuja, je hii habari ina ukweli au ilikuwa ni ya kutunga tu. Kwani kwa maelezo yako haya inaonyesha ulikuwa katika harakati za kufanya utafiti, au ulihamua kufanya utafiti baada ya tukio kutokea?Wana JF,
Kabla hata sijaanza kuandika niwaombe radhi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wameumizwa hisia, moyo, wametishika, wamekasirishwa na habari hii (hususani X Paster...).
Taarifa zinaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya Housegirls either wanabakwa au wanaamua kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wenye nyumba. Ni idadi chache sana ya wale wanaobakwa wanatoa taarifa katika vyombo vinavyohusika. Nimetafuta sababu za kufanya hivyo kama sehemu ya utafiti wangu ulio rasmi. Kwa kiasi kutokana na michango yenu nimepata kujua sababu za kutosha kujumuisha na nyingine nilizonazo na kuandika ripoti yangu. Ukisoma michango katika thread hii utaona jinsi ambavyo jamii inayachukulia masuala haya, na hasa nafasi ya housegirl katika nyumba na jamii kwa ujumla. Kwa niliyoyapata katika utafiti wangu ndani na nje ya JF, nashawishika kusema kuwa mabinti hawa waongezwe katika list ya "Vulnerable Groups" katika jamii. Kundi hili linahitaji uangalizi na ufuatiliaji maalumu. Singependa kutoa taarifa zote hapa jamvini katika muda huu, labda hapo baadaye.
Naomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza na nawashukuru kwa kunielewa.
CHUPAKU.:A S 103::A S 103::A S 103:
Mkuu, nami kwa nihaba yangu binafsi naweza kusema napokea na kukubali kwa kuomba kwako radhi, ila swali linakuja, je hii habari ina ukweli au ilikuwa ni ya kutunga tu. Kwani kwa maelezo yako haya inaonyesha ulikuwa katika harakati za kufanya utafiti, au ulihamua kufanya utafiti baada ya tukio kutokea?
Mimi binafsi si kama niliumizwa na hii habari, ila niliona kuwa haikutumika busara kwa kuanika hadharani ilo tukio, wakati vyombo vya sheria vipo na vimewekwa kwa jili ya wale wote wanao fanya uhalifu wa aina yoyote ule yakiwemo haya ya ubakaji.
Mimi napinga udhalilisha wa aina yoyote ule na haswa kama muhathirika ni Mwanamke au mtoto mdogo, huwa inaniuma sana watu wanaposhindwa kuyafikisha haya masuhala kwenye vyombo husika.
Basi nami nichukue nafasi hii, kukutaka radhi kwa yale yote ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikukwaza, yote hii ni katika kuwekana sawa na kufikisha kile ambacho nimeona kuwa kinafaa kwa jamii kukielewa.
Kudadadadaaaaaaaaadekiyaani hawa ndo madingi mi naowataka...sio umestafu unakuwa una kazi ya kusimulia hadithi wajukuu kibarazani..haya ndo mambo sasa yaani mama akizubaaa tu unajipindua anakukuta uko nyavuni unatweta tu..nani kasema ng'ombe inaseeka maini?eeeh hisi ni ng'ombe sa ngelengele au alusha? Aminia baba yaani katika hili tupo ukurasa mmoja...