PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Nashindwa cha kukwambia Miss Judith!
Lakini kwa mbali nakuona kama una amri sana dadaangu!
Sijui utanijibuje hili!
Naamini mtu wako huyo haingii huku, na ndiyo maana umejimwaga kuweka mambo hazarani!
Kama ndivyo, basi una nafasi bado ya kujirekebisha!
Lakini kwa mbali nakuona kama una amri sana dadaangu!
Sijui utanijibuje hili!
Naamini mtu wako huyo haingii huku, na ndiyo maana umejimwaga kuweka mambo hazarani!
Kama ndivyo, basi una nafasi bado ya kujirekebisha!