Recent content by marianay

  1. M

    Kozi za Afya 2016/2017, soma hapa

    F YA PHYSICS IMEMHARIBIA
  2. M

    Mkuu wa wilaya ya Maswa aagiza jeshi la polisi kumkamata meneja wa Mamlaka ya Maji kwa udanganyifu

    Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Rosemary Kirigini. DC Maswa Rosemary Kirigini ameliagiza jeshi la polisi kumkamata na kisha kumfikisha katika vyombo vya sheria Meneja wa Mamlaka ya Maji Maswa(MAUWASA) Lema Jeremiah (pichani) kwa kuidanganya kamati ya ulinzi na usalama juu ya gharama za ujenzi wa...
  3. M

    Kozi za Afya 2016/2017, soma hapa

    march 31 kwa intake ya april
  4. M

    Kozi za Afya 2016/2017, soma hapa

    Habari zenu, Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2015 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2016/2017. Nitazungumzia mada hii muhimu kwa kugusa maeneo yafuatayo...
  5. M

    TAMISEMI yakanusha uvumi kuhusu Ajira Mpya za Walimu

    we kibuyu acha ubishi taarifa ipo
  6. M

    TAMISEMI yakanusha uvumi kuhusu Ajira Mpya za Walimu

    we kibuyu si umepewa ushahidi na mkuu yuvinusm hapo juu,acha ubishi
  7. M

    TANZIA: Mwanafunzi wa Mwaka wa nne SUA afariki dunia, akiwa anafanya research !

    Mwanafunzi wa SUA kozi ya engineering Mwaka wa nne ENG.KUNYUMBA ISACK alifariki dunia jana. Kifo cha marehemu kimetokea wakati akiwa anachukua data za research maneo ya mabwawa ya horticulture SUA. Kwa bahati mbaya aliteleza kwenye bwawa la horticulture, juhudi za kumwokoa zilifanyika lakini...
Back
Top Bottom