Recent content by MarianaTrench

  1. MarianaTrench

    Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

    Anhaa kumbe, basi sawa. Wanavyo ongea hivyo na wewe daka maneno humo humo, utapata tu cha kuombea maji. Pia Chiwanda ni kijijini kwetu (mzazi wangu mmoja katoka hapo). Uwe na siku njema mkuu.
  2. MarianaTrench

    Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

    Ha ha haa. Hicho nilichokujibu ni kinyamwanga japo kina fanana na kinyiha baadhi ya maneno. Jifunze mkuu. Ukitaka kumteta mtu utafanyaje? siku hizi kila mtu anajua Kiswahili na Kiingereza. (Ha ha haaa, natania bwana)
  3. MarianaTrench

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Mmmmh. Nimejisikia vibaya. Unaweza kuvuta taswira kwamba huyu ni kiongozi, je ana "utu"? Mtu amezimia halafu unachombeza "Dar oyeeee". Jamaniiii!!!! Tusijisahau hakuna atakae dumu milele. Na ni MUNGU gani Makonda unamwabudu? Wewe sio Mkristo. Dah...hapana kwa kweli. Na hao wanaoshangilia bila...
  4. MarianaTrench

    Most expensive schools in Tanzania

    IST. Mwisho wa mchezo. Ile shule bwana acha kabisa. Ila wengi wanaokwenda pale ni wanatokea familia za wanadiplomasia(diplomats), ukizingatia malipo yao yale na marupurupu ya kuishi nchi kama Tanzania ile fedha wanaimudu kuilipa, haiwapi ugumu kama sie tunavyoona ugumu kwetu. Na wengine ni...
  5. MarianaTrench

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    By the way, kua "mjanja" kwa vitu vya wizi sio sifa njema.
  6. MarianaTrench

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Ahsante, nimeshapata way forward from police. Good night.
  7. MarianaTrench

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Mh nimejaribu lakini mrejesho sio mzuri, naomba kuja DM. Kuna dalili mwaka ukaisha na kicheko.
  8. MarianaTrench

    Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

    Mh Mkuu hata sina jazba, hujaelewa nini kwenye jibu langu?
  9. MarianaTrench

    Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

    Ha ha ha ha haaa Halafu hata mimi niliambiwaga hivyo(kuwa hawaendi kule), kumbe ni kweli eh!
  10. MarianaTrench

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Ahsante sana mkuu, ila nilichokifanya baada ya kugundua nimeibiwa simu nili badili password ya mi cloud kwa kuogopa kwamba mwizi ana weza kuaccess data muhimu sana nilivohifadhi kule. Unadhani hata baada ya kubadili password nina nafasi ya kuipata? Natanguliza shukhrani.
  11. MarianaTrench

    Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

    Ha ha ha haaaa, wadau wamemjibu vizuri kweli. Wewe ishi maisha yako, zile wipes sio za chooni tu hata mikononi na usoni pia, halafu unaonekana huna kazi ya kufanya. Yaani umekaa mpaka unachunguza muda watu wanaenda kukata magogo? Eboooo. Kasome kule.
Back
Top Bottom