Recent content by mariafroby

  1. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimepoteza simu ni samsung galaxy A31 hivi naweza kuipata?

    Kuna mtu kakwambia hapo wapo vituo vyote vya polisi..i guess uende kituo cha karibu yako uwaeleze then watakupa muongozo kama wataweza kukusaidia wao au watakudirect kwingine.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini upatu unavamia nchi yetu kila siku, tatizo ni nini?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mfanyakazi wa ndani mchapa kazi

    Mbona hiyo ni fair kabisa?she sleeps n eats there..kila kitu anapata,akiumwa shez being taken care of na 40thau juu kila mwezi..
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kijana wa IT anatafuta kazi...msaidieni wadau

    Khaa,yaani wewe😔..
  5. M

    JamiiForums Tanzania kuna aliyewahi kufanya AMCAT test zinazoratibiwa na zoom tanzania?

    Sikufanya the exam mpk mwisho,network ilizingua n sijarudiaga tena..but nliona mada humu humu jf walizungumzia hyo kitu!
  6. M

    JamiiForums Tanzania kuna aliyewahi kufanya AMCAT test zinazoratibiwa na zoom tanzania?

    It is free..baada ya hapo, zikitokea nafasi za kazi kwny hyo sekta uliyofaulu vizuri unakua unapewa kipaumbele!that's what I know!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mbolea aina ya SUPERGRO

    Hyo SuperGro ni mbolea ya gnld, mtafute huyo mtu lazima atakua na kitabu chenye details za hiyo product!
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada, namna ya kuweka picha application ya online

    Ipige picha hyo passport size yako, transfer kwny PC yako, then insert it there kwny sehemu ya kuweka hyo picha..kama size itakua kubwa i-crop!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vitu kumi vya kufanya kama hujaajiriwa

    I like this, am gonna try doing this..thank you Verdy CB
  10. M

    JamiiForums Tanzania Do you want to know how employable you are? Take AMCAT Employability Assessment

    They didn't send me anything😩😩 I thought may be my marks were soo bad!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Do you want to know how employable you are? Take AMCAT Employability Assessment

    I did the AMCAT test, what I wanna know is do you get any message that tells you how much you have scored?I should atleast get a feedback from you!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hivi bodi wana mpango gani na hela zetu za field?

    Mwaka jana walikuja kutoa hela ya field around week ya tano hivi baada ya field kuanza..vumilieni, ikifika hadi hiyo wiki hamna kitu hata hao supervisors wanavokuja kuwa-access wasipowakuta wasilalamike na kutaka kuwakata marks!
  13. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanafunzi wa UDSM (COET) agongwa na gari

    Anaitwa Egifrid August R.I.P Engineer
Back
Top Bottom